Madactari tuhamie kusini.

Ingekuwa uko Kisimayu ungenena hayo????? ujue magamba hao hao ndo wamekuwezesha kufanya hayo kwakuwa unaamani.
 
nazungumzia wale walosomeshwa kupitia kodi za wavuja jasho, ile haikua zawadi, and it is not fair mvuja jasho alipishwe kodi afu mtu asomeshwe bure na kuishia kutumika kwengine..huko ni kudhulumu wakulima na wafanyakazi wa tz..

Ndio wapi hao, kwani vyuo vingi wanajilipia ..ikiwa ni pamoha na mwaka juzi walipolalamika kuhuhu ada yao kuwa kubwa!
With those, sawa...Lakini hata wao ni ngumu kuilipa hiyo wasipofanya kazi!
 

sio wote walioomba msamaha. Kuna waliotumwa kuwadanganya wengine ili kutafuta ushahiwa wa kesi ya rais wa MAT. Wametumiwa na wamekubali kutumika, sasa hivi wanaandaliwa kuwa mashahidi kwa upande wa jamhuri. Ukiwa na mind ya kutegemea favour siku zote utaishi kwa shida sana.
 

kwanini usianze na kutafuta nafasi zenye maslahi hapahapa ndani kwanza?
Katika hospitali binafsi pia kuna maslahi bora pia, si lazima uende mbali hivo.
kaa hapa hapa ndani ulitumikie taifa mkuu.
Japo tunajua uzalendo ushakuwa msamiati kwa wengi wenu
 
Ukiona mtu anapita mitaani kuangaza kuwa anataka kujinyonga, fahamu kuwa mtu huyo anachotafuta ni attention tu na hakuna kujinyonga wala nini...
 
Good to know if what you say is true

 
Bora nurse anayekosea kwa ujinga kuliko nyie mnaojua na kuacha tufe, nilikuwa na wasupport ila huu upuzzi wenu wa kutokea kwenye vyombo vya habari na kuinua mikono sijawai ona, hata Babu zetu hawakufanya hivyo, nini ni thamani ya roho za watu zilizopotea kama mmekiri kwamba mlikosea, I would give you a second degree murder! this is ridicolous
 
kiasi gani bro, nisije nikaingia chaka
 

doctors ni watu kama watu wengine na wanahaki kuamua kufanya lolote wanachokitaka. doctor anapoacha kufanya kazi kwasababu ya UZEMBE WA MWAJIRI ana haki kutafuta kazi pengine. IN REALITY, watu wanapo kosa huduma ya afya serikali hapo ina KASORO!!
 
Nendeni tu mkatafute mi sioni ubaya,ila angalizo kwa manchi haya kusini mwende na wake zenu,wanawake wa hayo manchi ni hovyo,unaweza jikuta mafanikio yakageuka kuwa kilio.na pia km mna watoto ni kuwa makini na shule gani waende mana manchi ya kusini hawako competent kivile elimu yao.

Sex for sale,AIDS for free.
 

Huna unalolijua. Nesi huwa hatibu, bali kutekeleza maagizo ya Dr.
Mfamasia hatibu, ila kutoa dawa kwa maelekezo ya Dr.
Mtaalam wa maabara hatibu, ila kufanya uchunguzi ili kuthibitisha au kuukanusha ugunduzi wa ugonjwa alioubaini Dr.
Hivyo, Dr ndiye mtaalam wa afya hasa anaeanzisha mchakato wa tiba, na bila yeye hutibiwi!
Uwe unauliza kwanza kabla hujaropoka.
 
Maelezo yako hayanisaidii wala hayajibu swali langu la kuwaacha watu wafe then kuja ku appologize, muderers

 
Bora tufe kwa kuwakosanyie watu (Madaktari) mahospitalini badala ya kufa kwa kukosa rushwa ya kuwapa ili mtutibu! Tambaeni zenu bana hamtutishi lolote!!
 
Maisha popote hata kama mlipata elimu yenu ya udaktari hapa home kwa hiyo nawatakieni kila la heri huko muendako ila msisahau kuwatumia mkwanja ndugu zenu mliowaacha hapa home ili na wao watoke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…