GE2025 Mada Maalum: Vurumai za kura za maoni CCM

GE2025 Mada Maalum: Vurumai za kura za maoni CCM

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,146
Reaction score
48,384
Leo nimeona Clip ya Cyprian Musiba akilalamika kuhusu kura za maoni ndani ya CCM.

Kura hizo za maoni CCM zimefuta kabisa yale majigambo ya chama hicho kuwa kina uadilifu kwenye kusimamia changuzi ndani ya chama hicho.

Angalau kwenye kila Jimbo kuna malalamiko dhidi uwepo wa rushwa udanganyifu na kila aina ya uhalfu.

Kwa kuwa siyo rahisi kila mtu kuwa na taarifa ya kila tukio la kura hizo za maoni, ni vizuri tukasaidiana kuweka hapa video, maandishi au taarifa yoyote ya maana kuuthibitishia umma kuwa rushwa na aina nyingine ya uhalifu ni kitu cha kawaida ndani ya CCM.

Huyu hapa chini ni Musiba akilalamikia rushwa ndani ya CCM.

 
Money has never been a problem anabidi kujua kilichomfanya asiwe hata katika shortlist is not about money Ila ni tabia zake alizozijenga wakati wa 2016-2020.

Kuropoka
Kutukana
Dharau

N.k

Haya mambo yamemnyima nafasi.
 
Money has never been a problem anabidi kujua kilichomfanya asiwe hata katika shortlist is not about money Ila ni tabia zake alizozijenga wakati wa 2016-2020.

Kuropoka
Kutukana
Dharau

N.k

Haya mambo yamemnyima nafasi.
Ndani ya CCM kuna makundi yanayokitumia hicho chama kupata maslahi. Ukiwa kundi moja lazima utengwe na jingine!
 
Ndani ya CCM kuna makundi yanayokitumia hicho chama kupata maslahi. Ukiwa kundi moja lazima utengwe na jingine!
Ukijenga Nyumba unashauriwa kuweka mlango zaidi ya mmoja .

Kwahiyo nachojua kwa sasa angekuwa ana heshima katika jamii Ila he lose his dignity for money .
 
Leo nimeona Clip ya Cyprian Musiba akilalamika kuhusu kura za maoni ndani ya CCM.

Kura hizo za maoni CCM zimefuta kabisa yale majigambo ya chama hicho kuwa kina uadilifu kwenye kusimamia changuzi ndani ya chama hicho.

Angalau kwenye kila Jimbo kuna malalamiko dhidi uwepo wa rushwa udanganyifu na kila aina ya uhalfu.

Kwa kuwa siyo rahisi kila mtu kuwa na taarifa ya kila tukio la kura hizo za maoni, ni vizuri tukasaidiana kuweka hapa video, maandishi au taarifa yoyote ya maana kuuthibitishia umma kuwa rushwa na aina nyingine ya uhalifu ni kitu cha kawaida ndani ya CCM.

Huyu hapa chini ni Musiba akilalamikia rushwa ndani ya CCM.

Hana connection na watawala
 
Fanya uwezacho Musiba, ukikosa fedha huna chako kwa jamii nyingi za kitanzania
 
Back
Top Bottom