mambo ya kutukana wakunga wakati...
aliondokea Simba kuja uingereza kwa mbwembwe za kucheza soka la kulipwa, akaishia kuchezea Hounslow FC, timu hata daraja la nne haipo ...kama Nonda Shaaban aliweza kucheza mpaka EPL, yeye alishindwa nini? au Discipline?!
halafu akarudi Simba....
sasa analalamika Simba 'walivyomfanyia', au kiwango chale kimeporomoka vibaya? mpira na ubishoo ni vitu viwili tofauti, bora aende 'kujilipua' tu huko abahatishe maisha, mpira umekwisha.
Na yule mtoto wa Remmy, Kalimangonga Ongala naye aliishia wapi? naye alijaribiwa Bradford FC, hapa uingereza, nikasikia yupo Sweden...kisha kimyaaaaa...