hosen mmakonde
Senior Member
- Oct 13, 2014
- 139
- 79
Wakuu Habari....
Naombeni msaada Wa kufikishiwa Ujumbe kwa mtu yoyote ambaye yupo karibu na uongoza Wa Gazeti la MACHINGA na MACHINGA Saccos
Machinga Saccos wamenidhulumu haki Yangu, tuliingia Makubaliano ya kuwatafutia ofsi ambayo ndio wanaitumia mpaka Sasa ipo mtaa Wa idrisa Magomeni.
Makubaliano yalikuwa Laki 6 lakini wao wakanipa Laki 2, Lakini kila nikifatilia ananizungusha na huu Sasa Ni mwezi Tano hataki kunilipa deni langu , simu hapokei Tena na akipokea ananipa vitisho kuwa Taasisi inamikono ya Viongozi wakubwa hivyo anaweza kunifanya kitu kibaya.
Najiuliza Kama kiongozi Wa MACHINGA Saccos na gazeti la MACHINGA umefikia hatua ya kunidhulumu na huku unaaminiwa kukaa na hela za wanachama itakuwaje Sasa, Zitakuwa Salama???
Lakini Mbaya zaidi unatumia platform ya Saccos na Gazeti lenu kutajwa na raisi ndio imekuwa Ngao kwenu.
kunitishia kunifunga na kunibambikia kesi kisa Machinga Saccos ni ya Watu wakubwa na nifunge Mdomo Wangu la sivyo atanishughulikia.
Stonyamaza mpaka haki Yangu niipate na kinachofata ntaanza kwenda kwa hao wakubwa zako na kupeleka malalamiko yenu na popote mtapokuwa ntawasili.
Naombeni msaada Wa kufikishiwa Ujumbe kwa mtu yoyote ambaye yupo karibu na uongoza Wa Gazeti la MACHINGA na MACHINGA Saccos
Machinga Saccos wamenidhulumu haki Yangu, tuliingia Makubaliano ya kuwatafutia ofsi ambayo ndio wanaitumia mpaka Sasa ipo mtaa Wa idrisa Magomeni.
Makubaliano yalikuwa Laki 6 lakini wao wakanipa Laki 2, Lakini kila nikifatilia ananizungusha na huu Sasa Ni mwezi Tano hataki kunilipa deni langu , simu hapokei Tena na akipokea ananipa vitisho kuwa Taasisi inamikono ya Viongozi wakubwa hivyo anaweza kunifanya kitu kibaya.
Najiuliza Kama kiongozi Wa MACHINGA Saccos na gazeti la MACHINGA umefikia hatua ya kunidhulumu na huku unaaminiwa kukaa na hela za wanachama itakuwaje Sasa, Zitakuwa Salama???
Lakini Mbaya zaidi unatumia platform ya Saccos na Gazeti lenu kutajwa na raisi ndio imekuwa Ngao kwenu.
kunitishia kunifunga na kunibambikia kesi kisa Machinga Saccos ni ya Watu wakubwa na nifunge Mdomo Wangu la sivyo atanishughulikia.
Stonyamaza mpaka haki Yangu niipate na kinachofata ntaanza kwenda kwa hao wakubwa zako na kupeleka malalamiko yenu na popote mtapokuwa ntawasili.