Machemli Aibwaga Serikali Kortini


Serikalini nusu ya wafanyakazi wamegushi vyeti. Binafsi miaka hio tumemaliza Azania form six kuna jamaa aligushi cheti cha form six akaajiriwa idara ya statistics na nadhani mbulula yule aliunga unga sasa hivi anacheo tu.
Haya utamkagua nani hapo.
Nipo huku nje nchi moja hivi nasoma juzi juzi naongea na teacher mstaafu wa chuo kikuu kimoja kilikuwa cha jeshi sasa ni cha kiraia jina kapuni ananiambia oooh umetoka TZ kumbe, wanakujaga wanajeshi wenu tunawafundisha ila wanafeli mitihani but so long hawafanyi kazi hapa kwetu inabidi kuwapa hivo hivo kulinda heshima zao kwao vile ni watu wakubwa huko kwenu.
Nikamkumbuka Mwema na Kova na kesi za intelligensia ya kujua tu CDM wanamkutano wapi na lini ila ukiwauliza aliempiga Ulimboka na Kibanda ni blackout kabisa. Akiuwa ocd mwanza wauaji siku ya pili wamekamatwa dar. Ila raia uchunguzi unaendelea. For sure ni kukosa weledi na shule. Sasa mtu mwenye cheti magumashi huwa hawajiamini hata siku moja atakuwa na guilt consciousness maisha yote. Na atafanya kazi kwa kujipendekeza na ile tu ya kumfanya aonekane yupo kazini basi.
 


Shitaka lilikuwepo ndo maana mahakama ilkalisikiliza, kilichotokea ni kuwa polisi wameshindwa kuthibitisha ingawa tukio lilitokea! Vile vile wamepewa muda wa kukata rufaa mahakama ya juu, hivyo tusishangilie sana mambo yanaweza badilika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…