Machangudoa wengi wanakaa wapi?

Status
Not open for further replies.

Mkuu I salute you maana information yako hata TRA wakiamua kuangalia jinsi ya kupanua wigo wa kodi kwa kujumuisha hawa Dada zetu aka URODA vendors utakuwa bonge la consultant!

Asante sana kwa habarii hii; maana wawezakujikuta unapanga nyumba kumbe next door ndiyo makao ya ndg zetu....inafaa kukutana OFISINI tuu siyo hadi kwenye makazi🙂
 
 
Hivi kwanini hakuna anayekubali kuwa ni MDAU?
Sasa MDAU ni nani ikiwa kila mmoja anakataa?
Hapana Bwana wengi wetu ni WADAU tofauti ni
aina ya UDAU tu, kuna wale wa kudumu na wale
wa mara moja moja yaani kama Pilau ya sikukuu
Ingawa mimi simo lakini ukweli wengi wetu TUMO
yaani ni wachache ndio HATUMO.
 
6.wapo mademu na mijijimama ambayo wenyewe hujiuza kwenye mageto yao.....na hawa wanapatikani mwananyamala hospitali ukishuka tuu kwenye daladala ulizia utafika,wengine wapo temeke kwa sokota,wengine wapo tandika.....hawa bei zao ni buku 2 tuu
Mkuu nilienda huko juzi bei imepanda ni shilingi 3,000. Nimesikitika kweli maana
nilikuwa na 2500 hiyo nyingine ya nauli. Akanambia nimpe yote anihudumie si nikalipa
basi nimetembea kwa miguu kutoka Huko mpaka nyumbani MAJUMBA SITA.
 
Mkuu nilienda huko juzi bei imepanda ni shilingi 3,000. Nimesikitika kweli maana
nilikuwa na 2500 hiyo nyingine ya nauli. Akanambia nimpe yote anihudumie si nikalipa
basi nimetembea kwa miguu kutoka Huko mpaka nyumbani MAJUMBA SITA.

mkuu unakaa majumba sita ya sinza...au ile ya gongo la mboto maana umetembea kwa mguuu.....
 
viunoni mwa wanaume wavivu wa kutongoza!
 
Mkuu C.Programming we mkaaaree maana uko deep kinoma na nimekubali kuwa jiji unalijua.Ki ukweli hiyo bar uliyoitaja namba 2 huwa natokelezea mara kwa mara kupata huduma yao!
 
Mkuu C.Programming we mkaaaree maana uko deep kinoma na nimekubali kuwa jiji unalijua.Ki ukweli hiyo bar uliyoitaja namba 2 huwa natokelezea mara kwa mara kupata huduma yao!


daa kazi zangu....nyingi ni nyingi ni za mizunguko.....kwahiyo unakuta napita sehemu tofauti............kwa hiyo huwa nakutana na mambo mengi
 
Mkuu C.Programming we mkaaaree maana uko deep kinoma na nimekubali kuwa jiji unalijua.Ki ukweli hiyo bar uliyoitaja namba 2 huwa natokelezea mara kwa mara kupata huduma yao!

hiyo bar namba mbili ni noma pale lambo ulinzi ni wewe mwenyewe......kulikuwa baunsa mmoja alikuwa anaitwa jack shein ila alikufaga kwa kugogwa na gali......ila sasa hivi kuna baunsa mwingine anaitwa mawazo yeye anaishi kwa mfuga mbwa manzese.:A S shade:
 
Hivi sisi watu wa mbezi, kimara mbona hawa wadudu hawapo huku?
 
Mkuu unawajua hadi mabouncer? we inaelekea ni mdau wa ukweli...
 
Wengi wao wanaishi kwenye nyumba
 
ukitaka kufanya utafiti vizuri subili boom liishe. mia
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…