MacBook kwa bei chee,ram 8 GB,HDD 500 GB,processor 3.2 GHz

MacBook kwa bei chee,ram 8 GB,HDD 500 GB,processor 3.2 GHz

Sales93

Senior Member
Joined
Mar 5, 2014
Posts
146
Reaction score
73
1394057130099.jpg 1394057130099.jpg
 
Mwisho kabiisa 950 hii ni mac ww
 
Ya mwaka gani?? Ni PM namba yako tuelewane
 
Like I said, new tech inapoingia sokoni old one is no longer in the interest of people. This therefore compels price decrease. No matter how good it looks. 1m is not the price for now. Mac book Air for that price i would be convinced
 
Like I said, new tech inapoingia sokoni old one is no longer in the interest of people. This therefore compels price decrease. No matter how good it looks. 1m is not the price for now. Mac book Air for that price i would be convinced

nimeshaipush tena kwa 1.5 M
 
nimeshaipush tena kwa 1.5 M

Mkuu mi naona umeiuza kwa bei ndogo. Kuna watu walishakaririshwa bidhaa za Apple ni ghali hivyo hata ungekuwa na laptop ya 1995 bado ungeiuza kwa bei ghali tu. Lakini kwa wanaozijua utasubiri sana kufanya biashara kwa bei hiyo.
 
Tatizo sio kukaririshwa mkuu,nahisi hata specification zake umeziona hapo juu mkuu.......hiyo dukani kabisa ni 2.2 million
 
Back
Top Bottom