MacBook kwa bei chee,ram 8 GB,HDD 500 GB,processor 3.2 GHz

MacBook kwa bei chee,ram 8 GB,HDD 500 GB,processor 3.2 GHz

mac laptop oh no lbd nipewe burwee
asante wanunue tu hao apple maniac
 
Mkuu mi naona umeiuza kwa bei ndogo. Kuna watu walishakaririshwa bidhaa za Apple ni ghali hivyo hata ungekuwa na laptop ya 1995 bado ungeiuza kwa bei ghali tu. Lakini kwa wanaozijua utasubiri sana kufanya biashara kwa bei hiyo.

Ndio ndio kaka maana mtu akisikia tu bidhaa ya apple anapiga milion wkt hata kwa pesa ndogo tu mtu anapata apple! Ila waache bhana weny pesa zao, kwnz apple zote mbovu hazina lolote
 
Ndio ndio kaka maana mtu akisikia tu bidhaa ya apple anapiga milion wkt hata kwa pesa ndogo tu mtu anapata apple! Ila waache bhana weny pesa zao, kwnz apple zote mbovu hazina lolote

Unakosea kaka, bei ya bidhaa inaendana na quality ya kitu ndo maana hizi zinakuwa gharama kidogo
 
Tatizo sio kukaririshwa mkuu,nahisi hata specification zake umeziona hapo juu mkuu.......hiyo dukani kabisa ni 2.2 million
Ningekushangaa ungewauzia 1mil .....halafu humu JF utakuwa unapoteza muda.
 
Back
Top Bottom