Wakubwa, mimi ni mgeni katika matumizi ya apple computers.
Tatizo langu ni, je, eti ni kweli kwamba ku install software kwenye computer ya mac ni lazima iwe installed wakati inakuwa downloaded? Kama ni kweli ina maana computer hiyo hiyo unayo download ndio lazima hiyo software iwe installed humo, vipi kama unatumia computer ya Windows (ambayo ndio ina internet access) ku download na kisha ndio ui transfer labda na SD card (ikiwa kama installation set up file) kwenda ku install kwenye mac computer?
Na kama ni kweli kwamba unapotaka ku install software (lets say kutoka online app store) ni lazima itokee kwenye downloading moja kwa moja ina maana kila wakati ukitaka kuhamisha kwenye computer ingine itakuwa inakula kwako in terms of internet bandwith? Mbona hasara? Software husika ni final cut pro.
Tatizo langu ni, je, eti ni kweli kwamba ku install software kwenye computer ya mac ni lazima iwe installed wakati inakuwa downloaded? Kama ni kweli ina maana computer hiyo hiyo unayo download ndio lazima hiyo software iwe installed humo, vipi kama unatumia computer ya Windows (ambayo ndio ina internet access) ku download na kisha ndio ui transfer labda na SD card (ikiwa kama installation set up file) kwenda ku install kwenye mac computer?
Na kama ni kweli kwamba unapotaka ku install software (lets say kutoka online app store) ni lazima itokee kwenye downloading moja kwa moja ina maana kila wakati ukitaka kuhamisha kwenye computer ingine itakuwa inakula kwako in terms of internet bandwith? Mbona hasara? Software husika ni final cut pro.