Mabwana na mabibi afya majukumu yao ni yapi?

Mabwana na mabibi afya majukumu yao ni yapi?

Monseur

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2016
Posts
655
Reaction score
525
Mimi ni mfanyabiashara ninayetimiza vigezo na masharti yote ya urndeshaji ikiwemo kulipa kodi nakadhalika! Adui mkubwa wa biashara yangu ni Bwana afya!

I) Akifika ANADAI Clearance certificate ya TRA

II) Anadai leseni ya biashara

iii) Anadai risiti za Kulipia Hotel Levy

Then anakagua usafi, vyeti vya afya nk

Je hayo yote ni majukumu yao au ni namna tu ya kudai rushwa? Maana wamekuwa ni Kero kubwa kwa wajasiriamali mali
 
Bwana Afya/Bibi Afya kama walivyozoeleka kuitwa ila kitaalamu wanaitwa Environmental Health Officers ( EHOs ) ndio wasimamizi wakuu wa masuala yote yanayohusu afya hasa yahusuyo kinga.

Kazi kubwa ya Afisa Afya ni kuhakikisha hatari yoyote inayoweza kuathiri afya za watu inazuiwa au kama kuna mlipuko atahakikisha unadhibitiwa na hausambai kwa watu wengine.

Sheria wanazotumia ni Public Health Act, 2009, TFDA Act 2008, NEMA 2004 n.k

Wanafanya kazi pia kama Mawakili ( mahakama ) kitengo cha Afya ya Jamii.
 
In short Afisa Afya ni kama ilivyo Traffic polisi ni ngumu kukukuta huna kosa.

So itategemeana na tabia/ubinadamu tu wake ila akikuwekea roho ya Magufuli biashara yako itakufa au aidha uwe mtoa rushwa kwa bosi wake ili akulinde.
 
Serikali huwa inawatega, inaorodhesha kazi zake mwishoni inasema pamoja na kazi zozote utakazopangiwa na muajiri wako, so hao maafisa afya as long as ni civil servant wanaweza kutumwa hata kuja kukukamata,inategemeana kaelekezwa nini na muajiri
Case yako sasa, yawezekana kuna upungufu wa maafisa wa mapato so afisa afya katumwa pia kucheck hivyo vitu.Kama unavyomuoneshe tu kumaliza kesi au mpe ahadi kuwa after a certain duration utakua umeipata au mpe rushwa akafurahi na familia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila hao jamaa hawana tofauti na trafic kwakweli, walienda kwenye lodge ya home wakapekua weeeee hawakukuta tatizo ila kuna kaufa kapo mlango mkubwa wa kuingia na kutoka wakaanza kukomaa na hako kaufa na kutoza faini laki moja... Jamaa ni wapuuzi sana ila bro wangu mkubwa akawakomalia kua fine hailipwi hela hiyo la sivyo tufunge biashara na walivyoona jamaa yupo serious kua tunafunga biashara tutengeneze vyumba vya wapangaji wa kawaida ndio wakawa wapole na kumsihi biashara isifungwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ssa upuuuzi wao uko wapi hapo. Kwa jinsi ulivyoeleza inaonekana kuna chumvi nyingi sana.

Haiwezekani Afisa Afya aamue kukutoza faini kwa sababu tu ya kukutana na Ufa mdogo nyuma ya mlango wa nyumba yako.

Hii kazi inafanywa na wataalamu, sio kama unavyofikiria.

Aidha haiwezekani mtu akatae kulipia faini kama imetozwa kwa mujibu wa Sheria. Kama kweli ulikaguliwa na Watu waliojiita Maafisa Afya, hao walikuwa kanjanja.
Ila hao jamaa hawana tofauti na trafic kwakweli, walienda kwenye lodge ya home wakapekua weeeee hawakukuta tatizo ila kuna kaufa kapo mlango mkubwa wa kuingia na kutoka wakaanza kukomaa na hako kaufa na kutoza faini laki moja... Jamaa ni wapuuzi sana ila bro wangu mkubwa akawakomalia kua fine hailipwi hela hiyo la sivyo tufunge biashara na walivyoona jamaa yupo serious kua tunafunga biashara tutengeneze vyumba vya wapangaji wa kawaida ndio wakawa wapole na kumsihi biashara isifungwe

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nianze kuongeza chumvi ili nimfurahishe nani?! Sio tu hao bwana na bibi afya bali hata halmashauri wenyewe tumeshawahi kuwakazia na tukafunga biashara kwa wiki moja hadi wakatuita mezani kuzungumza ndipo tukafungua tena... Makanjanja yapo kibao tu labda ndio tunakutana nayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
In short Afisa Afya ni kama ilivyo Traffic polisi ni ngumu kukukuta huna kosa.

So itategemeana na tabia/ubinadamu tu wake ila akikuwekea roho ya Magufuli biashara yako itakufa au aidha uwe mtoa rushwa kwa bosi wake ili akulinde.

Akizidisha, TAKUKURU itamuhusu
 
Back
Top Bottom