mwanahabari93
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 263
- 170
Kuna mwanamke nimekuwa nae katika mahusiano ya kimapenzi takribani miezi mitatu ila hataki kufanya mapenzi anadai yeye ni bikra na kuwa hayuko tayari kabisa kishiriki hilo tendo na anadai kuwa haoni sababu ya kugegedwa kama tu mabusu na kupapaswa anarizika nimemwambia kila mtu afate mambo yake maana nimeshindwa kuvumilia.
Vipi hapo niko sawa au nimekosea.?
Vipi hapo niko sawa au nimekosea.?