pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,245
- 3,728
Hahahahahhahahah.....jamaa unachekesha sana,wanawake huwa wana mtu kwa ajili yakutoa matunzo,kuuza nae sura na anayempenda...sasa wewe upo kundi la kwanza
Mkuu huyo mbona tayari kaelekea kibla ww mwambie afate iyo hela geto then akija maliza na muambie aende utamtumia tigo pesa akitoa tu miguu futa namba kama una smartphone unatia block ata sms zake haziingii