Habari wanajamii MMU,
Imetokea kuna binti namuapproach anazingua na anadai anamtu wake, basi huwa sina tendency yakukomaa sana zaidi tu naendelea kuwasiliana naye kawaida tu huku nikimsoma ni mtu wa aina gani, sasa mala ya kwanza nimewahi mpa zawadi kabla sijamtamkia chochote, nikazawadi kakawaida sana alifurahi na akapenda sana.
Si mwombaji wa hela but naona huwa anatamani aniombe ila anakosa mwanya, uvivu umemtoka kunasiku akaniomba baada ya miezi kadhaa kwenda, nikamtumia hata bila kuhoji akashukuru sana, sikuwa namaneno mengu nikajibu poa na hapo pia mimi sikuhangaika kumtafuta tena ila tunatafutana mala mojamoja sana.
Leo kaenda anaenda shule ananiambia nimwongezee hela ya matumizi na nikama wiki mbili zimekata toka aniombe hela. sasa mimi swali najiuliza, huyu nilivomwambia habari yamahusiano anadai anamtu at the some time ananipiga vizinga, mimi ananipiga vizinga kama nani kwake? Mimi nikamate manyoya nyama wale wengine?
Imetokea kuna binti namuapproach anazingua na anadai anamtu wake, basi huwa sina tendency yakukomaa sana zaidi tu naendelea kuwasiliana naye kawaida tu huku nikimsoma ni mtu wa aina gani, sasa mala ya kwanza nimewahi mpa zawadi kabla sijamtamkia chochote, nikazawadi kakawaida sana alifurahi na akapenda sana.
Si mwombaji wa hela but naona huwa anatamani aniombe ila anakosa mwanya, uvivu umemtoka kunasiku akaniomba baada ya miezi kadhaa kwenda, nikamtumia hata bila kuhoji akashukuru sana, sikuwa namaneno mengu nikajibu poa na hapo pia mimi sikuhangaika kumtafuta tena ila tunatafutana mala mojamoja sana.
Leo kaenda anaenda shule ananiambia nimwongezee hela ya matumizi na nikama wiki mbili zimekata toka aniombe hela. sasa mimi swali najiuliza, huyu nilivomwambia habari yamahusiano anadai anamtu at the some time ananipiga vizinga, mimi ananipiga vizinga kama nani kwake? Mimi nikamate manyoya nyama wale wengine?