ndio utajiju,tafuta mtu unayeendana naye! kama wewe ni wa viwanja vya uswahilini huko tafuta wa huko huko,sio ww unaendaga viwanja vya uswahilini halafu leo unataka mtu anayeenda viwanja vikubwa kwa gharama ile ile ya viwanja unavyoshindia?!!!....utakiona cha mtema kuni!!!:spider: