Mabingwa watetezi EPL, Leicester City wamtimua manager wao

Bila shaka ulikuwa ujafatilia vzuri KANTE alikuwa anataka kuongezwa mshahara na ilikuwa haki yke kwa huduma aliyokuwa anatoa pale
 
Mbona wanafungika sana tu! Ushindi wa 2:1 ni ushindi wa kawaida sana ambao wanaweza kugeuza matokeo kirahisi tu wakirudi lecister
Hayo maneno yangu, shida ya wabongo wengi wanakariri, hawajui mpira
 
Kudadeeek fanyaa yooote
Mazur hata 100 na ya dhahabu

Lakin cku ukikosea moja
Tu unaonekana shetan wa kutupwaaaaaa jalalaaaan


Yan hao mabos wake
Kwa akili yao walifkir
Ataweza kumfunga sevilla
Hata kwa ndoto za mchana
Hawangeweza

Liverpool alisalit
Amri sembuse watoto wa jana
Nyieeee
Rudi utupe mrejesho, unakariri, mnajiaminisha timu za spain ni bora kuliko nyengine? Anapapatua asishuke daraja england kamkalisha uyo unaemuona ni mbabe
Mbona wanafungika sana tu! Ushindi wa 2:1 ni ushindi wa kawaida sana ambao wanaweza kugeuza matokeo kirahisi tu wakirudi lecister
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom