CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 687
Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni ambaye pia ni Waziri Mkuu kivuli, Mhe. F.A. Mbowe akiwa ameshikilia "JAGI" la Kagame
Spika wa Bunge, Mhe. A. Makinda akiwakubali vijana wa kazi wa Jangwani
Waziri Mkuu, Mhe. M.K.P. Pinda akiamurisha askari wa kutoa heshima ili waanze kuwapigia Mizinga ya Ushujaa Mabingwa Yanga
Mabingwa ktk Pozi Mjengoni Dodoma
Kweli kabisa, bado Ngao ya Hisani, Asamoah kama kawa, The only One Kaseja hachomoi vichwa
Sasa wewe Ngassa, kwani Fagason kasema anakutaka???