Giannis Antetokounmpo
Senior Member
- Jan 16, 2017
- 134
- 65
Nataka kuaza kuuza nguo za watoto za mitumba sema nlikua nataka kujua mabelo ya mitumba yanapatikana wapi na bei zame zimekaaje kwa belo, mwenye uzoefu tafadhali.
Yaani unakosoa kumbe huna msaada wowote kwenye swali lake? Una matatizo wewe.mkuu ni balo
afu jitahidi kuandika vizuri. hakikisha sentensi kabla hujapost
nmemsaidia ku update uzi wake ,hata wewe ukauonaYaani unakosoa kumbe huna msaada wowote kwenye swali lake? Una matatizo wewe.
Kamsaidia jinsi ya kuandikaYaani unakosoa kumbe huna msaada wowote kwenye swali lake? Una matatizo wewe.
Sehem gani mkuu,nielekeze vyema kidogomkuu hapa maeneo posta,mnazi mmoja yap kwaupande wa bei sifahamu, ila kwa uzoefu mdogo nasikia bei ni kulingana na grade
Mkuu mbona naskia wengi wanayafungua wanachagua/wanatoa nguo nzuri wanayafunga upya?mkuu hapa maeneo posta,mnazi mmoja yap kwaupande wa bei sifahamu, ila kwa uzoefu mdogo nasikia bei ni kulingana na grade
mkuu sina utaalamu sana na hila maana sijawahi fanya hiyo biaashara ila kunamtu nilikuwa napiga story na mtu akaniambia hivyoMkuu mbona naskia wengi wanayafungua wanachagua/wanatoa nguo nzuri wanayafunga upya?
Nauza belo LA mixer blause za wadada from uk kwa 200k nguo zipo 280 na zaidi.being hii ni kutokana na offer iliyopo. Tel: 0715647956Nataka kuaza kuuza nguo za watoto za mitumba sema nlikua nataka kujua mabelo ya mitumba yanapatikana wapi na bei zame zimekaaje kwa belo, mwenye uzoefu tafadhali.