Hallo. Habari za kutwa. Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa.
Napenda kuwajulisha wale wanaojenga kuwa kuna mabati ya migongo mipana yanauzwa. yapo kama mabati mia moja yana urefu wa mita tatu (futi 10 na upana sentimita 100) rangi yake ni blue na bei yake ni sh 40,000 kwa bati moja. Ni mabati yanayofahamika kama mabati ya south Africa.
Kwa wanaohitaji tuwasiliane kwa namba ya simu 0654-197369
Hallo. Habari za kutwa. Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa.
Napenda kuwajulisha wale wanaojenga kuwa kuna mabati ya migongo mipana yanauzwa. yapo kama mabati mia moja yana urefu wa mita tatu (futi 10 na upana sentimita 100) rangi yake ni blue na bei yake ni sh 40,000 kwa bati moja. Ni mabati yanayofahamika kama mabati ya south Africa.
Kwa wanaohitaji tuwasiliane kwa namba ya simu 0654-197369
Ok nakushukuru kwa concern yako. Lakini mimi nimeweka post hii ikiwa ina details zote.
Habari ya research nisingependa kuiongelea lakini kama unaona bei ni kubwa na unahitaji ni bora ungepiga simu au ungesema kile ambacho wewe unakifahamu.
Kwa taarifa yako mabati hayo bei yake ni sh 42,000 hadi 45,000.
Thanks
Ok nakushukuru kwa concern yako. Lakini mimi nimeweka post hii ikiwa ina details zote.
Habari ya research nisingependa kuiongelea lakini kama unaona bei ni kubwa na unahitaji ni bora ungepiga simu au ungesema kile ambacho wewe unakifahamu.
Kwa taarifa yako mabati hayo bei yake ni sh 42,000 hadi 45,000.
Thanks