johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,123
Taarifa zimfikie mbunge wa Kawe Askofu Dkt. Gwajima popote alipo kwa sababu inaelezwa Mabasi hayataki kuhamishiwa Bunju Sokoni ambako Nauli ya Dar - Bagamoyo itapungua kutoka tsh 1800 hadi tsh 1300
Leo wale Wananchi Pangu pakavu tia mchuzi chamoto wanakipata
Mabasi ya route ya Mbezi - Bagamoyo hayajagoma
Niko ndani ya Bajaj, kumbe Inawezekana 😂😂🔥
Leo wale Wananchi Pangu pakavu tia mchuzi chamoto wanakipata
Mabasi ya route ya Mbezi - Bagamoyo hayajagoma
Niko ndani ya Bajaj, kumbe Inawezekana 😂😂🔥