Your right mkuu, ndicho wanachofanyakampuni hii nasikia kazi yao ni kuuza magari. kwa wakati ambapo hayajapata mteja yanabeba abiria. wanamuuzia mtu kufuatana na kilometa zilizotumika barabarani. kumbe gari uliyoiona mwezi uliopita huenda jana iliuzwa ikaja nyingine!
Sio ukwepa kodi huo?kampuni hii nasikia kazi yao ni kuuza magari. kwa wakati ambapo hayajapata mteja yanabeba abiria. wanamuuzia mtu kufuatana na kilometa zilizotumika barabarani. kumbe gari uliyoiona mwezi uliopita huenda jana iliuzwa ikaja nyingine!