VOICE OF MTWARA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 3,099
- 2,208
Wahudumu wa Mabasi ya mikoani yanayofanya safari usiku hebu jiongezeni tafadhali. Unakuta imeshafika saa 5 au 6 usiku, abiria wamelala lakini wao wataendelea kuacha TV zikiwa ON.
Abiria wanashindwa kulala kwa utulivu kutokana na kelele na mwanga wa TV unaoumiza macho.
Hivi ni nani akiwa nyumbani kwake anatazama TV saa nane usiku?!
Abiria wanashindwa kulala kwa utulivu kutokana na kelele na mwanga wa TV unaoumiza macho.
Hivi ni nani akiwa nyumbani kwake anatazama TV saa nane usiku?!