Mgombea ananiacha hoi pale anaposema TZ ya magufuli ni ya viwanda wati huohuo anakwambia nikiwa rais nitawaomba wawekezaji waje kuleta viwanda hapa vidogo na vikubwa, nikiwa rais elimu itakuwa bure wati huo anasema holewao watakao kula michango ya shule, Elimu ya chuo kikuu itakuwa bure wati huohuo anasema akiwa rais holewao watakaochelewesha mikopo ya wanafunzi.Sijui tufuate lipi na tuache, IT masaki/ lumumba tupeni ufafanuzi juu hayo labda nyie mnamuelewa.