Makamee
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 2,029
- 1,191
Nafupisha mada:
Nashangazwa na ukimya wenu ktk haya madhila yaliowapata Watanzania ktk Operation Tokomeza Ujangili.
Kila mpenda haki amehuzunishwa na repoti ya kamati ya Bunge.
Nilitaraji nyinyi kama vioo ktk jamii tusikie walau neno la FARAJA toka kwenu lakini mpaka leo kimya.
1.Maaskofu kimya
2.Masheikh kimya
3.TGNP mpo kimya
Au hayo yaliyotokea Ktk Operation Tokomeza kwao wameyaona ya kawaida sana?
Nashangazwa na ukimya wenu ktk haya madhila yaliowapata Watanzania ktk Operation Tokomeza Ujangili.
Kila mpenda haki amehuzunishwa na repoti ya kamati ya Bunge.
Nilitaraji nyinyi kama vioo ktk jamii tusikie walau neno la FARAJA toka kwenu lakini mpaka leo kimya.
1.Maaskofu kimya
2.Masheikh kimya
3.TGNP mpo kimya
Au hayo yaliyotokea Ktk Operation Tokomeza kwao wameyaona ya kawaida sana?