Nchi imegawanyika hii.......JK Atuachie nchi ikiwa moja kama alivyoikuta
haiki kifungu ndio moyo wa kataba
safi sana Baraza
wapi shekh mataka wa bakwata
[Pia haijajibu matakwa na malalamiko
ya wananchi kwenye masuala
mbalimbali kama muundo wa Serikali,
miiko na maadili ya viongozi wa
umma, haki za binadamu, madaraka ya
rais na uwiano wa mihimili ya dola]
cc: FaizaFoxy
...
Pia haijajibu matakwa na malalamiko ya wananchi kwenye masuala mbalimbali kama muundo wa Serikali, miiko na maadili ya viongozi wa umma, haki za binadamu, madaraka ya rais na uwiano wa mihimili ya dola.
...