maandamano

micksawe

Member
Joined
Nov 23, 2011
Posts
9
Reaction score
0
Naona kuna haja ya vyama vya siasa hasa chadema na nccr wakae pamoja na kuona swala la KATIBA simchezo.

Ni la nchi nzima na ni kwa manufaa nchi. Maandamano na uvunjivu wa AMANI hayana nafasi jinsi unyeti wa katiba ulivyo.

Watuachie sisi wananchi tutoe maoni yetu.
 
maandamano sio uvunjifu wa amani.youare wrong.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…