I can't wait kuona wananchi wa buza na kwa mpalange wakishikana na mikono na kuandamana, wakiachana na maisha yao magumu ya Mchele robo, kudaiwa kodi, pesa ya kitafunwa na za watoto shule, kumlipa dada wa kazi, pesa ya matibabu, mtoto wa shangazi kaja kwetu, khadija kafumaniwa, hajalipwa mshahara wake wa elfu 80, bodaboda inahitaji service, jana hajala, na kwenda kuandamana kwa ajili ya future bora ya taifa bila kuogopa kuumia vibaya, kupigwa na polisi au kufa kabisa kwa risasi. Sababu hakuna kitu bora kwao kama siasa wasizozielewa.
Itakuwa kama ile movie ya US kutoka kwa Jordan Peele. I'm excited!