Maandamano yanaendelea nchini Zimbabwe

Joined
Apr 22, 2016
Posts
37
Reaction score
4
Wananchi wameanza kuandamana nchini Zimbabwe baada ya kuchoshwa na uongozi wa raisi Robert Mugambe.
 
Hahaha.. Mugabe ataogopwa mpaka lini? UncleBen
Swala sio kuogopwa Mkuu watu wengine wana bahati zao yaani ni vijukuu vya mtume na Mugabe ni mmoja wao ,huyu labda siku yake ikifika Zimbabwe ndio itapumua ,Nikikumbuka alivyo mnyanyasa Morgan aisee hatochelea kuwatandika wananchi wake watakao leta fyokofyoko
Japo ni bonge moja la kiongozi sema angekubali apumzike tu
 
Rais unaka muda mrefu madarakani hadi wananchi wako wanaona bora wakufukuze. hiyo ni shida.
 
kikundi cha watu wachache waliotekwa akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…