Kiranja wa zamu na fisiem ndo wenye baraka na chochote anafanya yule domo. Msanii akiomba mafuriko wanaangalia tu ila aombe kiongozi wa upinzani hata kwenda hospital wanapanic. #getangry
Bt alipofika maeneo ya lumumba kwa wajomba zake fcm vijana cjui walitokea wapi walianza kupiga makelele huku wakionyesha alama ya vidole vya chadema cdhan kama iyo clip ataionyesha hata kwa insta yke.