Watanzania tunaogopa mtutu wa bunduki, ndo maana mwanaume mmoja anajitokeza kuwapima wanaume wenzake tezi dume.Wanatia aibu walahi!
we wasema yupo peke yake,hayo mavideo na madocument mlokuwa mnamtumia leo useme yupo peke yake,mnaomfollow wote ni wajinga na sio serikaliYule dada amanifunza kitu. Yaani yupo Amerika tena pekee yake na alikuwa anahamasisha maandamano kupitia mitandaoni ila ameweza kuitikisa serikali nzima, kuanzia top kabisa, mawaziri, wakuu wa mikoa, makamanda wa polisi mikoa, wakuu wa wilaya na kila mteule akawa anaimba juu ya maandamano mwisho wa siku wakaja kutumia kodi zetu kuwaandamanisha polisi kwa siku tatu.
Bila shaka serikali imejifunza kitu na itoe pamba masikioni ifanyie kazi kero za wananchi.
Muhamasishaji wa maandamano amefanikiwa kwa asilimia 90.
Je jeshi la police Tanzania limetumia kiasi gani cha fedha kutishia watu wasiandamane?
Hii ni hatari sana kwa nchi yetu, mtu mmoja aishie Marekani anaweza kuitia hasara nchi kiasi hiki? Are we real safe?
Hii ni amani au ni woga?
Leo hadi ndege JWTZ zimerushwa utadhani kuna vitaJe jeshi la police Tanzania limetumia kiasi gani cha fedha kutishia watu wasiandamane?
Hii ni hatari sana kwa nchi yetu, mtu mmoja aishie Marekani anaweza kuitia hasara nchi kiasi hiki? Are we real safe?
Hii ni amani au ni woga?
Huu ndio ujinga wa ngozi nyeusi, hiyo hasara mnadhani ni kutoka mfukoni kwa Magufuli? Mnaanzisha ujinga mkidhani mnaemuimiza ni MTU Fulani kumbe unaumiza kizazi chako mwenyewe!!Je jeshi la police Tanzania limetumia kiasi gani cha fedha kutishia watu wasiandamane?
Hii ni hatari sana kwa nchi yetu, mtu mmoja aishie Marekani anaweza kuitia hasara nchi kiasi hiki? Are we real safe?
Hii ni amani au ni woga?
Hii ilikuwa strategy ya kwanza,kuahidi alaf un backoff iliuone ujinga wa adui yako uko wapi!Acha vioja Mkuu..!!
Na nyinyi kutokufanya maandamano yenye tija mmeligharimu taifa kiasi gani?
Baba zetu wametuambia, ukiamuwa kitu cha kufanya, ingia mzima mzima, huo ndio uanaume, sasa hawa wenzetu wamekacha kila kata, halmashauri, wilaya na mikoa, eti watu 9 tu!Nawaonea huruma kweli yani. Hata kwenye UKUTA mlijifariji hivihivi,.. Jifunzeni basi hata kwa wapinzani wa hapo Kenya tu,
Madagascar leo ni siku ya 6 wanaandamana kupinha rais mstaafu kutaka kugombea tena. Siyo kwamba huko hakuna police, wapo tena wameua watu 2 kwa risasi, lkn wananchi wanaandamana hivyohivyo mbele ya bunduki coz siyo waongeaji wa mitandaoni tu kama ninyi.
Mada za kujifariji hizi,rudi kasome bajeti yao kwa mwaka inayotengwaJe jeshi la police Tanzania limetumia kiasi gani cha fedha kutishia watu wasiandamane?
Hii ni hatari sana kwa nchi yetu, mtu mmoja aishie Marekani anaweza kuitia hasara nchi kiasi hiki? Are we real safe?
Hii ni amani au ni woga?
ni kweli madai yake yametimizwa kwa 90% au tunajifariji baada ya kushindwa vibaya?Yule dada amanifunza kitu. Yaani yupo Amerika tena pekee yake na alikuwa anahamasisha maandamano kupitia mitandaoni ila ameweza kuitikisa serikali nzima, kuanzia top kabisa, mawaziri, wakuu wa mikoa, makamanda wa polisi mikoa, wakuu wa wilaya na kila mteule akawa anaimba juu ya maandamano mwisho wa siku wakaja kutumia kodi zetu kuwaandamanisha polisi kwa siku tatu.
Bila shaka serikali imejifunza kitu na itoe pamba masikioni ifanyie kazi kero za wananchi.
Muhamasishaji wa maandamano amefanikiwa kwa asilimia 90.
Watanyooka tu.Hao waliofunika nyuso zao wanaogopa nini??? Wengine wametambulika na ni kama wamejitangaza kuukana Utanzania, otherwise....!!%@&#€¥*