Maandamano? Watakwambia unahatarisha amani na utulivu vilivyodumu kwa miaka 50! Ila hawatakwambia ni kwanini pamoja na amani yetu tumeshindwa kupata maendeleo yanayoenda sambamba na amani yetu. Rwanda pamoja na mauaji ya kimbali, wanaomba sight watu-overtake kimaendeleo. Kumchinja bata ni rahisi maana hapigi kelele kama kuku!