Maandamano kupinga kupanda ya bei ya umeme

Maandamano kupinga kupanda ya bei ya umeme

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,464
Reaction score
4,829
Kwa wale wanaoguswa na bei mpya ya umeme mnatakiwa kuonyeaha hisia zenu kupitia maandamano ya amani kuelekea ubungo.Tarehe ya maandamano itatangazwa
 
Mimi namba moja!! Pangeni fasta watu tuandamane, hii ni kunyonyana.
 
Nimenunua umeme wa Tsh. 20,000/= nimepata unit 35 juzi tar.1/1/2014 leo umeme umeisha.
 
Nimenunua umeme wa Tsh. 20,000/= nimepata unit 35 juzi tar.1/1/2014 leo umeme umeisha.

mkuu yaani ukifikiri kwa makini unaona bira ugharamie ujinunulie solar na inverter kubwa walau 5000wt ili kuachana na mijizi hii ya ccm,
 
mkuu yaani ukifikiri kwa makini unaona bira ugharamie ujinunulie solar na inverter kubwa walau 5000wt ili kuachana na mijizi hii ya ccm,

Umeme nao ni anasa kutumia kwa mtanzania
 
Mimi napendekeza tufanye mgomo matumizi ya umeme, tumia unit chache kadiri uwezavyo mwisho wa siku mauzo ya Luku yatapungua, then makusanyo Tanesco yatakuwa chini hivyo kusudio lao kuongeza kipato litafeli.
 
Umeme nao ni anasa kutumia kwa mtanzania
ila ninacho shukuru nipo mbioni kupata uraia wa nchi fulani lakini bado naumia sana na watanzania wenzangu nitakao waacha wanavyo pata tabu na huu utawala wa ccm na mafisadi wao.
 
Baba yako hana adabu, haya tulikubaliana ni siri, na mimi nikikuambia maumbile yake huko nyuma utaenda kumuhadithia?
embu nenda basi ukajiswafi yakhe!! UNATULETEA GHASIA TU HAPA BANA, MAANA UMEVURUGIKA HASWAAA!!ILA USISAHAU SUPER DOLL!! TEH TEH TEH!!!
 
Sasa hivi naona ni wakati wa kununua Windmill au solar power na kuachana na kadhia za Tanesco
 
niko tayari kuchangia pesa kidogo ili kuyawezesha na kuhakikisha MUHONGO anang'oka .
 
Kwa wale wanaoguswa na bei mpya ya umeme mnatakiwa kuonyeaha hisia zenu kupitia maandamano ya amani kuelekea ubungo.Tarehe ya maandamano itatangazwa
Hiyo ndio issue wajameni. Kuweni tayari kuonyesha hisia zetu kwa watawala. Viwango hivi vya kutisha ni matokeo ya dili za wakubwa. Sasa mzigo unatupiwa vichwani kwa raia wanyonge kulipia ulaji ngawira wa viongozi wa dola.
 
Na kwa kukazia hilo, itengenezwe Logo safi ama banner saaaafi itakayosema juu ya kilio chetu hiki.

Kila mmoja wetu aliechafukwa na kupanda kwa bei aitumie logo hiyo kama

1. Facebook Profile Picture Yake
2. Twitter Profile Picture yake
3. WhatsApp & BBM Display Pic yake
4. Viber & Telegram
5. Any Other social network iweke kama Profile pic.

Yote hii ni kuonesha kuwa kwa umoja wetu hatujafurahia kupanda kwa bei, na pia kukumbushia siku ya either maandamano, mgomo or any other njia itakayoamuliwa.

Pia patengezwe Facebook Page, Twitter Account etc T-Shirt ziprintiwe with the logo ili kukumbushana.

Iwe Massive sio Dar peke yake, Yawe ya Amani tusiharibu mali wala kudhuru mtu.

Umeme ishakuwa kero
 
Mwana hii post irudishe front page Tufanye modalities. Nilikuwa sijaiona.
 
Back
Top Bottom