Salamanders
JF-Expert Member
- Oct 31, 2016
- 365
- 202
Hakuna uislam Wa hivyo
Naijui dhima ya kutoa fatwa ya uongo..Nna uhakika na nlichokisema,sijatunga..wewe unaebisha ndo ukatafute dalili...
Ooooooohhhh afadhali sana. Ila isiwe muda wote twende kilioni kama Waziri mmoja hivi aligombea jimbo na Mnyika. Yeye alikuwa muda wote tu ni twende kilioniTeh teh teh mwenzenu mwendo wa nywele tano Kichwani nywele iko shingoni kaa muhindi bebe wangu hapati shida anytime anywhere akitaka kunishika kunishika kichwani hana shida pia nampunguzia matumizi yasiyo yalazima I love you Darling kwakunipenda nilivyo mwaaaaa "I"
ExactlyUmeonaeeeehhhh............ Siasa muda mwingine stress tu. Huku tunajifunza mambo yanayotuzunguka. Life is all about love making...
Upo sahihi.Hatua ya kwanza usimguse sehemu alizokatwa katwa, pili msikilize wapi anaumia na wapi haumii, Tatu muandae kwa muda mrefu (saa moja na nusu hivi)
hisia zangu nyingine zipo kixhwani kwenye nywele zangu hslisi ndiyo maana sipendi kuchanganya kwani nywele za mikono siyo twende kiluoni tu zina style much an fanOoooooohhhh afadhali sana. Ila isiwe muda wote twende kilioni kama Waziri mmoja hivi aligombea jimbo na Mnyika. Yeye alikuwa muda wote tu ni twende kilioni
Kuna wanawake wengine pia wanaboa kweli, wakati wa shughuli yeye anaenda salon halafu hataki Nywele ziguswe. Wanaume wengine tunapenda sana kugusa Nywele
Hayo mambo ni mazito sanaMkuu ongezea uzoefu wako hapa........... Naona una mengi unayoyafahamu. Tuelimishane.........
Ooooooohhhh afadhali sana. Ila isiwe muda wote twende kilioni kama Waziri mmoja hivi aligombea jimbo na Mnyika. Yeye alikuwa muda wote tu ni twende kilioni
Kuna wanawake wengine pia wanaboa kweli, wakati wa shughuli yeye anaenda salon halafu hataki Nywele ziguswe. Wanaume wengine tunapenda sana kugusa Nywele
Ahsante sana mkuu kwa elimu kubwa sana hii........ Ulishawahi kutumia KY Jelly kwenye kumuandaa??? Mimi nilishatumia mara nyingi na infact ililipa sana. Ilipunguza muda wa kumuandaa......Ni kwamba kwanza wanawake au mabint waliokeketwa kama wanadate na watu wa utamaduni mwingine huwa na woga na aibu sana,
Hivyo hata mchakato wa kukuvulia Kufuli huwa mchakato (kwa wale wanaojiheshim).
Lakini atakwambia kuwa yeye amekeketwa,na mara nyingi husinhizia walikeketwa utotoni sana na blah blah,then kwenye kumuandaa kwakweli sehem ya ndani ya uke wake usiiguse hasa kwa kidole,maana unapokitafuta kisimi(lilichokatwa) utamgusa kovu lake na ataumia, hivyo hatafurahia hayo maandalizi,na huchukua muda kuwa kwenye hisia.
Kama anakumudu atakwambia HUKO NAUMIA.
Kama hakumudu atavumilia ila sasa hapo utakua unamuumiza tu.
Wakija unistue mmkuu ,D:Wanawake wa JF waliokeketwa karibuni mchangie mawazo na uzoefu wenu, ninyi ndiyo wa kutusaidia zaidi hapa...... Na mpo humu hivyo msione sooooo..................
Wakristo wanasema ushindwe na ulegee.Hakuna mambo ya ukeketaji kweny dini ya HAKI,Islam.Uislam umeruhusu ukeketaji wa kinyama kidogo ambao hautaleta madhara iwapo mwanamke atashindwa kucontrol hisia zake hivo kupelekea kufanya maasi..Ndio maana umekutana na huyo bnti wa kipemba aliekeketwa,,
Ila kumchoma chuchu jamn ni kuharibu umbile la mwanamke asipendeze kwa mumewe.
Kama wewe ni muislam,dalili ya uislam kuruhusu ukeketaji ipo kwny comments,pitia utaona.Wakristo wanasema ushindwe na ulegee.Hakuna mambo ya ukeketaji kweny dini ya HAKI,Islam.
Malizia elimu hii mkuu....... Bahati mbaya hai apply kwa waliokeketwa. Ukigusa sehemu hizo unatonesha vidonda mkuuHabarini wanajamii wenzangu.
Hii mada ni rahisi sana kwa watu wa kawaida ila kwa wajuzi ni ngumu sana.
Naomba nitoe majibu mapesi katika mada ngumu.
Mwanamke huwa na milango mitatu.milango iyo kazima iweze kufunguliwa kwa mpangilio kwa ikitokea mpangilio huo umekosewa basi ni wazi ya kwamba milango hiyo haitafunguka.
Kiutaratibu mlango wa kwanza ndo unatakiwa uanze kufunguliwa,ukifuatiwa na mlango wa pili kisha mlango wa tatu.
Mlango wa kwanza ni rahisi kuufungua kwa sababu upo nje ya mwili lakini mlango wa pili na watatu ni migumu kidogo kwa sabab ipo ndani ya mwili.
Milango hiyo ya mwanamke ni :-
1.KINEMBE
2.UKE
3.SHINGO/CERVIX
1.KINEMBE.
kinembe ni sehemu ya nje ya uke wa mwanamke kinembe huundwa na mashavu,kichwa cha kinembe,shafti na govi.
(a) mashavu.
Sehemu ya nje ya uke imeundwa na mashavu ya aina mbili.mashavu mapana na mashavu membamba.
mashavu mapana ndo yale ambayo pembeni yake huota nywele(mavuzi) na mashavu membamba ni yale ambayo huungana na tundu la mkojo na tundu la uke la mwanamke.
Mashavu hayo yote mawili ni chanzo kikubwa sana cha hisia kwa mwanamke.
(b)Govi.
Kama ilivyo kwa mwanaume,mwanamke pia hua na govi.kwa mwanaume govi huwa ni ngozi ambayo hufunika kichwa cha uume.ngozi hii pia wapo wanaoikata kwa kitendo kiitwacho tohara.
Kwa mwanamke govi huwa ni ngozi ambayo hufunika kicha cha kinembe.
Ngozi hii ikishikwa vizuri na kurudishwa nyuma ndipo kichwa cha kinembe huweza kuonekana vizuri au kikubwa zaidi.
(c) kichwa cha kinembe.
Hiki hua ni kitu chenye umbo kama la harage ambacho hupatikana sehenu ya juu kabisa ambapo mashavu membamba huanzia.
Kichwa cha kinembe ndo huwa sehemu ya kinembe ambayo inaweza kumpa mwanamke msisimko zaid kuliko sehemu nyingine za kinembe.
Kichwa hiki huwa ni kidogo sana lakini husimama na kuwa kikubwa kadri kinavyochezewa.
(d)shafti.
Shafti huwa ni mfupa flani ambao huanzia sehemu ya juu ya mapaja na kuja hadi chini kidogo ya kichwa cha kinembe.mfupa huu huoatikana kama utakandamiza kidole chako juu ya kichwa cha kinembe na huwa na tabia ya kuteleza.
Mfupa huu nao humpa mwanamke hisia sana kama utafanikiwa kushikwa.
Sasa mjumuisho wa vitu hivyo vyote ndo huitwa kinembe,na kinembe ndo mlango wa kwanza wa mwanamke katila ulimwengu wa mapenzi.
Kinembe ndo kiungo pekee cha mwanamke ambacho kina kazi moja tu ambayo ni kumpa mwanamke starehe wakati anafanya tendo la ndoa na kimewekwa nje ili iwe rahisi kufikiwa na kuchezewa kwani kwa kuchezewa vizuri kinembe ndipo mlango wa pili huweza kufunguka.
2.UKE.
Uke ndo mlango wa pili wa mwanamke katika ulimwengu wa mapenzi.