Maana yake nini, Waziri Lwenge kumtaka Mbunge Kitwanga kuhama CCM?

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,168
Ni jambo la kushangaza kama si kusikitisha kwa waziri wa Maji Mh Lwenge kumtaka Mh Kitwanga kukihama chama chake,CCM, ati tu kwa vile ameikosoa wizara bungeni wakati wa makadirio ya bajeti yake.

Naichukulia kauli ya Mh Lwenge kama kiburi kisichovumilika kwa sisi wananchi.

Wizara ya Maji ina madudu, yasikosolewe?
Au madudu hayo ni kwa manufaa ya CCM?

Sasa ni nani wa kuyakosoa bungeni, kukosoa kuachiwe upinzani tu?

Huu ni ufinyu wa mawazo na msimamo kwa Waziri Lwenge kutoa tamko kama alilotoa.

Je, wabunge wa CCM wako bungeni kubugia uoozo wowote unaoshuhudiwa huko majimboni?

Kuna mifano hai mingi sana ya miradi ya Maji majimboni, ambayo fedha yake imetumika lakini miradi hiyo hata kuanza utekelezaji haujawahi kufanyika!

Sasa hayo ayaseme nani?
Mh Gerson Lwenge, that wa too low!
Na actually watu wanaodhani CCM ina kazi ya kutetea madudu wanakiua chama.

Ref Mwananchi pg 5, 14/5/2017
"Lwenge amtaka Kitwanga ahame chama
 
Ni jambo la kushangaza kama si kusikitisha kwa waxiri wa Maji Mh Lwenge kumtaka Mh Kitwanga kukihama chama chake,CCM, ati tu kwa vile ameikosoa wizara bungeni wakati wa makadirio ya bajeti yake.

Naichukulia kauli ya Mh Lwenge kama kiburi kisichovumilika kwa sisi wananchi.

Wizara ya Maji ina madudu, yasikosolewe?
Au madudu hayo ni kwa manufaa ya CCM?

Sasa ni nani wa kuyakosoa bungeni, kukosoa kuachiwe upinzani tu?

Huu ni ufinyu wa mawazo na msimamo kwa Waziri Lwenge kutoa tamko kama alilotoa.

Je, wabunge wa CCM wako bungeni kubugia uoozo wowote unsoshuhudiwa huko majimboni?

Kuna mifano hai mingi sana ya miradi ya Maji majimboni, ambayo fedha yake imetumika lakini miradi hiyo hata kuanza utekelezaji haujawahi kufanyika!

Sasa hayo ayaseme nani?
Mh Gerson Lwenge, that wa too low!
Na actually watu wanaodhani CCM ina kazi ya kutetea madudu wanakiua chama.
Ref Mwananchi pg 5, 14/5/2017
"Lwenge amtaka Kitwanga ahame chama
Huyu naye ni ccm aliyeanza kujitambua anaitwa masopakyindi
 
Ni jambo la kushangaza kama si kusikitisha kwa waxiri wa Maji Mh Lwenge kumtaka Mh Kitwanga kukihama chama chake,CCM, ati tu kwa vile ameikosoa wizara bungeni wakati wa makadirio ya bajeti yake.

Naichukulia kauli ya Mh Lwenge kama kiburi kisichovumilika kwa sisi wananchi.

Wizara ya Maji ina madudu, yasikosolewe?
Au madudu hayo ni kwa manufaa ya CCM?

Sasa ni nani wa kuyakosoa bungeni, kukosoa kuachiwe upinzani tu?

Huu ni ufinyu wa mawazo na msimamo kwa Waziri Lwenge kutoa tamko kama alilotoa.

Je, wabunge wa CCM wako bungeni kubugia uoozo wowote unaoshuhudiwa huko majimboni?

Kuna mifano hai mingi sana ya miradi ya Maji majimboni, ambayo fedha yake imetumika lakini miradi hiyo hata kuanza utekelezaji haujawahi kufanyika!

Sasa hayo ayaseme nani?
Mh Gerson Lwenge, that wa too low!
Na actually watu wanaodhani CCM ina kazi ya kutetea madudu wanakiua chama.

Ref Mwananchi pg 5, 14/5/2017
"Lwenge amtaka Kitwanga ahame chama
Aisee et waxiri wa maji.... Hapo tu ndo umenifanya nikose hamu ya kuisoma post ako... Kwani uyo waxiri kafanyaje tena?
 
Mara nyingi akibanwa hukimbilia hoja dhaifu za kichama
Uwaziri kaupata kwa kuwa mtiifu na kutomhoji chochote Sizonje alipokuwa naibu wake ujenzi
 
Kitwanga alikosea!

Kutishia kuvamia na kuhujumu Miundombinu ya Maji hadharani Tena Bungeni ni zaid ya kosa la jinai!

CCM si Chama cha ghasia na Kama ameanza kuamini katika ghasia na Uharibifu wa Miundombinu ni bora akabidhi kadi ya Chama ajiunge na Vyama vinavyoamini katika ghasia!
 
Hiki kigagula huwa na uwezo zero wa kujieleza na mara nyingi akibanwa hukimbilia hoja dhaifu za kichama
Uwaziri kaupata kwa kuwa mtiifu na kutomhoji chochote Sizonje alipokuwa naibu wake ujenzi

Nani aliekufundisha kuwa kazi ya Naibu Waziri ni kumhoji Waziri wake?
 
Lwenge ni ndumla kuwili, wakati akiwa naibu waziri wa Ujenzi akiwa Njombe akiomba kula za ujumbe wa halmashauri kuu alisema ameteuliwa na kikwete kuwa naibu waziri ili baadaye awe waziri wa ujenzi kwani kikwete alikuwa na mpango wa kumuondoa Magufuri kwani alikuwa hampendi. Click hiyo iliwekwa humu miaka 3 iliyopita, sas nashangaa magufuri kupta uwaziri mtu aliyekuwa anamsema vibaya bosi wake


Kitwanga alikosea!

Kutishia kuvamia na kuhujumu Miundombinu ya Maji hadharani Tena Bungeni ni zaid ya kosa la jinai!

CCM si Chama cha ghasia na Kama ameanza kuamini katika ghasia na Uharibifu wa Miundombinu ni bora akabidhi kadi ya Chama ajiunge na Vyama vinavyoamini katika ghasia!
 
Back
Top Bottom