Maana ya "ISAALEl " Siyo Upatanishi !

Pius J. Kiwarya Lema

JF-Expert Member
Nov 14, 2013
1,097
567
Kwa miaka 41nimezaliwa wa nimeishi Tanzania Kilimanjaro Ninaijua historia :
Ukiona jambo linapotoshwa na watu wanaojitekenya wenyewe na kucheka wenyewe ni lazima usahihishe vinginevyo wanaweza kufuta maana njema ya jambo husika.

MTI wa ISALE au JANI lake lina maana moja tu ya ASILI nayo ni
"MPAKA' kati ya shamba lako eneo lako unakoishia .

Mmea huu unapandwa kwenye mpaka kuonyesha mwisho wa sehemu yako, ,kiwanja chako na si vinginevyo !

Kwa lugha ya Leo kwenye viwanja au shamba wanaweka jiwe .

Matumizi ya jani la Isale, yalishika kasi ya miaka 1800 kutokana na ujio wa wakoloni hasa wajerumani kwa nia ya kuwaonyesha himaya au tawala ya eneo fulani hivyo wakitaka kuingia ni lazima mazungumzo yawepo !

Kadri miaka ilivyosogea jani hili lilikuwa linatumika kuonyesha jambo alilonalo au ambavyo angependa lifanyike.

Mojawapo ya eneo ambalo Isale ilitumika hata (hata leo )kama Ishara ya kuonyesha jambo ni kupandwa mpakani mwa mashamba.hats kama hakuna ugomvi

Baadayev yakawa yanapamba gari Lililobeba Maiti kutoka Mochwari kuelezea au kuonyesha kwamba kuna jambo linaumiza limetokea ama linahitaji ufumbuzi !

Ushahidi mdogo wa Matumizi ya Jani Ia ISALE ni mwaka 1989 alipofariki Babu yangu Mzee Philemon(1900) Nlengu Muro MANAI Kiwarya Lema gari ilipambwa kwa masale pale mbele "!

Sasa niulize kwa hawa wapotoshaji wa sasa wanaodai lina Maana ya amani!

walikuwa wanataka amani nani ? Au walikuwa wamemkosea Nani?
Jani la Isale halibebwi tu kienyeji ,
Mtu makini akilibeba ataenda kuliweka mahali alikokusudia sio kuzunguka zunguka nalo barabarani !

Iwe kwenye shamba au kiwanja au nyumba au kupamba gari au ukumbi Wa shughuli husika lakini sio kama wafanyavyo wanasiasa wa siku hizi .

Napenda kuhitimisha Kuwa Jani hili linamaanisha kero aliyonayo mtu au uzuri alionao mtu au jambo alilonalo MTU Kwako lakini siyo kutaka amani au kuonyesha Furaha aliyonayo.

Amani ni matokeo ya kutatua hicho kilichomfanya aone mbele yako.
Furaha itakuwa ni matokeo kutatua kile kilichomfanya akuone kero .
Kwa hiyo siyo kila anayekuona kero na kubeba ISALE ana kero.
Siyo kila anayefurahia na kubeba ISALE ana furaha.

Cha kujifunza Isale ni Alama ya mpaka wa ardhi tu.Kama mpaka haupo Amani ya moyo haipo !

Mpaka wa shetani katika Ulimwengu Wa roho umeshaondolewa kwa Damu ya Yesu Kristo hivyo Isale linabaki kama kumbukumbu tu ya mmea wa Kihistoria uliotumika kulekeza ishara ya kutoingia kwenye himaya mtu mwingine

Kiwarya.JP.Lema
 
Kwa miaka 41nimezaliwa wa nimeishi Tanzania Kilimanjaro Ninaijua historia :
Ukiona jambo linapotoshwa na watu wanaojitekenya wenyewe na kucheka wenyewe ni lazima usahihishe vinginevyo wanaweza kufuta maana njema ya jambo husika.

MTI wa ISALE au JANI lake lina maana moja tu ya ASILI nayo ni
"MPAKA' kati ya shamba lako eneo lako unakoishia .

Mmea huu unapandwa kwenye mpaka kuonyesha mwisho wa sehemu yako, ,kiwanja chako na si vinginevyo !
Kwa lugha ya Leo kwenye viwanja au shamba wanaweka jiwe .

Matumizi ya jani la Isale, yalishika kasi ya miaka 1800 kutokana na ujio wa wakoloni hasa wajerumani kwa nia ya kuwaonyesha himaya au tawala ya eneo fulani hivyo wakitaka kuingia ni lazima mazungumzo yawepo !

Kadri miaka ilivyosogea jani hili lilikuwa linatumika kuonyesha jambo alilonalo au ambavyo angependa lifanyike.

Mojawapo ya eneo ambalo Isale ilitumika hata (hata leo )kama Ishara ya kuonyesha jambo ni kupandwa mpakani mwa mashamba.hats kama hakuna ugomvi

Baadaye yakawa yanapamba gari Lililobeba Maiti kutoka Mochwari kuelezea au kuonyesha kwamba kuna jambo linaumiza limetokea ama linahitaji ufumbuzi !

Ushahidi mdogo wa Matumizi ya Jani Ia ISALE ni mwaka 1989 alipofariki Babu yangu Mzee Philemon(1900) Nlengu Muro MANAI Kiwarya Lema gari ilipambwa kwa masale pale mbele "!

Sasa niulize kwa hawa wapotoshaji wa sasa wanaodai lina Maana ya amani!

Walikuwa wanataka amani nani ?bwalikuwa wamemkosea Nani?
Jani la Isale halibebwi tu kienyeji ,Mtu makini akilibeba ataenda kuliweka mahali alikokusudia sio kuzunguka zunguka nalo barabarani !

Iwe kwenye shamba au kiwanja au nyumba au kupamba gari au ukumbi Wa shughuli husika lakini sio kama wafanyavyo wanasiasa wa siku hizi .

Napenda kuhitimisha Kuwa Jani hili linamaanisha kero aliyonayo mtu au uzuri alionao mtu au jambo alilonalo MTU Kwako lakini siyo kutaka amani au kuonyesha Furaha aliyonayo.

Amani ni matokeo ya kutatua hicho kilichomfanya aone mbele yako.!
Furaha itakuwa ni matokeo kutatua kile kilichomfanya akuone kero .
Kwa hiyo siyo kila anayekuona kero na kubeba ISALE ana kero.
Siyo kila anayefurahia na kubeba ISALE ana furaha.

Cha kujifunza Isale ni Alama ya mpaka wa ardhi tu.Kama mpaka haupo Amani ya moyo haipo !

Mpaka wa shetani katika Ulimwengu Wa roho umeshaondolewa kwa Damu ya Yesu Kristo hivyo Isale linabaki kama kumbukumbu tu ya mmea wa Kihistoria uliotumika kulekeza ishara ya kutoingia kwenye himaya mtu mwingine

Kiwarya.JP.Lema
Kwa miaka 41nimezaliwa wa nimeishi Tanzania Kilimanjaro Ninaijua historia :
Ukiona jambo linapotoshwa na watu wanaojitekenya wenyewe na kucheka wenyewe ni lazima usahihishe vinginevyo wanaweza kufuta maana njema ya jambo husika.

MTI wa ISALE au JANI lake lina maana moja tu ya ASILI nayo ni
"MPAKA' kati ya shamba lako eneo lako unakoishia .

Mmea huu unapandwa kwenye mpaka kuonyesha mwisho wa sehemu yako, ,kiwanja chako na si vinginevyo !

Kwa lugha ya Leo kwenye viwanja au shamba wanaweka jiwe .

Matumizi ya jani la Isale, yalishika kasi ya miaka 1800 kutokana na ujio wa wakoloni hasa wajerumani kwa nia ya kuwaonyesha himaya au tawala ya eneo fulani hivyo wakitaka kuingia ni lazima mazungumzo yawepo !

Kadri miaka ilivyosogea jani hili lilikuwa linatumika kuonyesha jambo alilonalo au ambavyo angependa lifanyike.

Mojawapo ya eneo ambalo Isale ilitumika hata (hata leo )kama Ishara ya kuonyesha jambo ni kupandwa mpakani mwa mashamba.hats kama hakuna ugomvi

Baadayev yakawa yanapamba gari Lililobeba Maiti kutoka Mochwari kuelezea au kuonyesha kwamba kuna jambo linaumiza limetokea ama linahitaji ufumbuzi !

Ushahidi mdogo wa Matumizi ya Jani Ia ISALE ni mwaka 1989 alipofariki Babu yangu Mzee Philemon(1900) Nlengu Muro MANAI Kiwarya Lema gari ilipambwa kwa masale pale mbele "!

Sasa niulize kwa hawa wapotoshaji wa sasa wanaodai lina Maana ya amani!

walikuwa wanataka amani nani ? Au walikuwa wamemkosea Nani?
Jani la Isale halibebwi tu kienyeji ,
Mtu makini akilibeba ataenda kuliweka mahali alikokusudia sio kuzunguka zunguka nalo barabarani !

Iwe kwenye shamba au kiwanja au nyumba au kupamba gari au ukumbi Wa shughuli husika lakini sio kama wafanyavyo wanasiasa wa siku hizi .

Napenda kuhitimisha Kuwa Jani hili linamaanisha kero aliyonayo mtu au uzuri alionao mtu au jambo alilonalo MTU Kwako lakini siyo kutaka amani au kuonyesha Furaha aliyonayo.

Amani ni matokeo ya kutatua hicho kilichomfanya aone mbele yako.
Furaha itakuwa ni matokeo kutatua kile kilichomfanya akuone kero .
Kwa hiyo siyo kila anayekuona kero na kubeba ISALE ana kero.
Siyo kila anayefurahia na kubeba ISALE ana furaha.

Cha kujifunza Isale ni Alama ya mpaka wa ardhi tu.Kama mpaka haupo Amani ya moyo haipo !

Mpaka wa shetani katika Ulimwengu Wa roho umeshaondolewa kwa Damu ya Yesu Kristo hivyo Isale linabaki kama kumbukumbu tu ya mmea wa Kihistoria uliotumika kulekeza ishara ya kutoingia kwenye himaya mtu mwingine

Kiwarya.JP.Lema
 
Kwa miaka 41nimezaliwa wa nimeishi Tanzania Kilimanjaro Ninaijua historia :
Ukiona jambo linapotoshwa na watu wanaojitekenya wenyewe na kucheka wenyewe ni lazima usahihishe vinginevyo wanaweza kufuta maana njema ya jambo husika.

MTI wa ISALE au JANI lake lina maana moja tu ya ASILI nayo ni
"MPAKA' kati ya shamba lako eneo lako unakoishia .

Mmea huu unapandwa kwenye mpaka kuonyesha mwisho wa sehemu yako, ,kiwanja chako na si vinginevyo !
Kwa lugha ya Leo kwenye viwanja au shamba wanaweka jiwe .

Matumizi ya jani la Isale, yalishika kasi ya miaka 1800 kutokana na ujio wa wakoloni hasa wajerumani kwa nia ya kuwaonyesha himaya au tawala ya eneo fulani hivyo wakitaka kuingia ni lazima mazungumzo yawepo !

Kadri miaka ilivyosogea jani hili lilikuwa linatumika kuonyesha jambo alilonalo au ambavyo angependa lifanyike.

Mojawapo ya eneo ambalo Isale ilitumika hata (hata leo )kama Ishara ya kuonyesha jambo ni kupandwa mpakani mwa mashamba.hats kama hakuna ugomvi

Baadaye yakawa yanapamba gari Lililobeba Maiti kutoka Mochwari kuelezea au kuonyesha kwamba kuna jambo linaumiza limetokea ama linahitaji ufumbuzi !

Ushahidi mdogo wa Matumizi ya Jani Ia ISALE ni mwaka 1989 alipofariki Babu yangu Mzee Philemon(1900) Nlengu Muro MANAI Kiwarya Lema gari ilipambwa kwa masale pale mbele "!

Sasa niulize kwa hawa wapotoshaji wa sasa wanaodai lina Maana ya amani!

Walikuwa wanataka amani nani ?bwalikuwa wamemkosea Nani?
Jani la Isale halibebwi tu kienyeji ,Mtu makini akilibeba ataenda kuliweka mahali alikokusudia sio kuzunguka zunguka nalo barabarani !

Iwe kwenye shamba au kiwanja au nyumba au kupamba gari au ukumbi Wa shughuli husika lakini sio kama wafanyavyo wanasiasa wa siku hizi .

Napenda kuhitimisha Kuwa Jani hili linamaanisha kero aliyonayo mtu au uzuri alionao mtu au jambo alilonalo MTU Kwako lakini siyo kutaka amani au kuonyesha Furaha aliyonayo.

Amani ni matokeo ya kutatua hicho kilichomfanya aone mbele yako.!
Furaha itakuwa ni matokeo kutatua kile kilichomfanya akuone kero .
Kwa hiyo siyo kila anayekuona kero na kubeba ISALE ana kero.
Siyo kila anayefurahia na kubeba ISALE ana furaha.

Cha kujifunza Isale ni Alama ya mpaka wa ardhi tu.Kama mpaka haupo Amani ya moyo haipo !

Mpaka wa shetani katika Ulimwengu Wa roho umeshaondolewa kwa Damu ya Yesu Kristo hivyo Isale linabaki kama kumbukumbu tu ya mmea wa Kihistoria uliotumika kulekeza ishara ya kutoingia kwenye himaya mtu mwingine

Kiwarya.JP.Lema
Mbona unahaha kufafanua. Kulikoni?
 
Kwa miaka 41nimezaliwa wa nimeishi Tanzania Kilimanjaro Ninaijua historia :
Ukiona jambo linapotoshwa na watu wanaojitekenya wenyewe na kucheka wenyewe ni lazima usahihishe vinginevyo wanaweza kufuta maana njema ya jambo husika.

MTI wa ISALE au JANI lake lina maana moja tu ya ASILI nayo ni
"MPAKA' kati ya shamba lako eneo lako unakoishia .

Mmea huu unapandwa kwenye mpaka kuonyesha mwisho wa sehemu yako, ,kiwanja chako na si vinginevyo !

Kwa lugha ya Leo kwenye viwanja au shamba wanaweka jiwe .

Matumizi ya jani la Isale, yalishika kasi ya miaka 1800 kutokana na ujio wa wakoloni hasa wajerumani kwa nia ya kuwaonyesha himaya au tawala ya eneo fulani hivyo wakitaka kuingia ni lazima mazungumzo yawepo !

Kadri miaka ilivyosogea jani hili lilikuwa linatumika kuonyesha jambo alilonalo au ambavyo angependa lifanyike.

Mojawapo ya eneo ambalo Isale ilitumika hata (hata leo )kama Ishara ya kuonyesha jambo ni kupandwa mpakani mwa mashamba.hats kama hakuna ugomvi

Baadayev yakawa yanapamba gari Lililobeba Maiti kutoka Mochwari kuelezea au kuonyesha kwamba kuna jambo linaumiza limetokea ama linahitaji ufumbuzi !

Ushahidi mdogo wa Matumizi ya Jani Ia ISALE ni mwaka 1989 alipofariki Babu yangu Mzee Philemon(1900) Nlengu Muro MANAI Kiwarya Lema gari ilipambwa kwa masale pale mbele "!

Sasa niulize kwa hawa wapotoshaji wa sasa wanaodai lina Maana ya amani!

walikuwa wanataka amani nani ? Au walikuwa wamemkosea Nani?
Jani la Isale halibebwi tu kienyeji ,
Mtu makini akilibeba ataenda kuliweka mahali alikokusudia sio kuzunguka zunguka nalo barabarani !

Iwe kwenye shamba au kiwanja au nyumba au kupamba gari au ukumbi Wa shughuli husika lakini sio kama wafanyavyo wanasiasa wa siku hizi .

Napenda kuhitimisha Kuwa Jani hili linamaanisha kero aliyonayo mtu au uzuri alionao mtu au jambo alilonalo MTU Kwako lakini siyo kutaka amani au kuonyesha Furaha aliyonayo.

Amani ni matokeo ya kutatua hicho kilichomfanya aone mbele yako.
Furaha itakuwa ni matokeo kutatua kile kilichomfanya akuone kero .
Kwa hiyo siyo kila anayekuona kero na kubeba ISALE ana kero.
Siyo kila anayefurahia na kubeba ISALE ana furaha.

Cha kujifunza Isale ni Alama ya mpaka wa ardhi tu.Kama mpaka haupo Amani ya moyo haipo !

Mpaka wa shetani katika Ulimwengu Wa roho umeshaondolewa kwa Damu ya Yesu Kristo hivyo Isale linabaki kama kumbukumbu tu ya mmea wa Kihistoria uliotumika kulekeza ishara ya kutoingia kwenye himaya mtu mwingine

Kiwarya.JP.Lema
Maneno marefu,point iko moja tu. Nilidhani ningepata ufafanuzi zaidi,ndugu zako huku wanamtizamo tofauti. Ngoja waje.
 
hujaeleweka

toa specific meaning ya wale kufanya vile

na bado ni wachaga wenzako na wanaweza kuwa na maana tofauti

umeongea kama mkibosho? mmarangu? mrombo? mmachame? n.k

na usiseme wachaga ni kabila moja, mila za mkibosho na mrombo ni tofauti kabisa, lugha zao ni tofauti kabisa

so sema sasa fafanua tukuelewe
 
Management ya ikulu yote imelewa mahaba ya msambwanda wa mbwana mdogo.
Tusitegemee fikra fikirishi kutoka kwao. Leo msu-**** kapata weledi wa kuijua mila ya mchaga tena ndani ya siku mbili na kuieleza jinsi ilivyo. Kiruuuu cha Mae.
 
hujaeleweka

toa specific meaning ya wale kufanya vile

na bado ni wachaga wenzako na wanaweza kuwa na maana tofauti

umeongea kama mkibosho? mmarangu? mrombo? mmachame? n.k

na usiseme wachaga ni kabila moja, mila za mkibosho na mrombo ni tofauti kabisa, lugha zao ni tofauti kabisa

so sema sasa fafanua tukuelewe
Kwahiyo waliokuwa wameyabeba jana walikuwa wakibosho au wamarangu?
 
hujaeleweka

toa specific meaning ya wale kufanya vile

na bado ni wachaga wenzako na wanaweza kuwa na maana tofauti

umeongea kama mkibosho? mmarangu? mrombo? mmachame? n.k

na usiseme wachaga ni kabila moja, mila za mkibosho na mrombo ni tofauti kabisa, lugha zao ni tofauti kabisa

so sema sasa fafanua tukuelewe
Mnajitahidi sana kutugawa lakini hamtaweza..

Mila za wachaga wote ni zile zile tu, uwe Mmachame, Mkibosho, Mrombo mila ni zile zile tu tofauti ni lugha tu ambayo nayo inaingiliana kutokana na ukaribu wa maeneo husika. Mkibosho na Mmachame wanaongea na kuelewana bila shida yeyote. Vyakula vya asili na tamaduni zote za uchagani ni zile zile ziwe kwa Mmarangu mpaka Mmachame..
 
Nina mashaka na mtoa mada yawezakuwa ni mlokole la sivyo bora ukae kimya, no research no right to speak kaa na wazee uelewe la sivyo acha kutuaminisha unachohisi wewe, ni kweli kila alipo mchaga anajielewa lazima pawepo na isale lakini lina maana zaidi ya uliyoieleza wewe, uliloeleza wewe ni lile lililopandwa pembeni yaani mpakani, basi nategemea uje na Uzi mwingine utueleze na yanayopandwa katikati au ndani ya shamba linakuwa na maana gani.
 
Kwanza kila MTU ana haki ya kufanya apendavyo hatumsemei mtu !

Pili Mimi ninaongea kama mtazania niliye na haki na wajibu Wa kuelezea kile ni achokifahamu katika ardhi inayoitwa Tnzania

Haki ya kuwa na maoni na kueleza fikra zangu haiwezi kutazamwa kwa misingi ya eneo isipokuwa maana inapopotoshwa am a Kwa kutokujua au kwa makusudi

Ni wajibu wangu kutoa ninachokifahamu .

Kuhusu mambo ya ukabila nenda mtaa Wa Lumumba wanaweza kukukijibuu kama wamefaulu au la ?
 
Nina mashaka na mtoa mada yawezakuwa ni mlokole la sivyo bora ukae kimya, no research no right to speak kaa na wazee uelewe la sivyo acha kutuaminisha unachohisi wewe, ni kweli kila alipo mchaga anajielewa lazima pawepo na isale lakini lina maana zaidi ya uliyoieleza wewe, uliloeleza wewe ni lile lililopandwa pembeni yaani mpakani, basi nategemea uje na Uzi mwingine utueleze na yanayopandwa katikati au ndani ya shamba linakuwa na maana gani.
Kwanza kuwa Mlokole hakuondoi haki yangu ya kuijua historia na maisha yanayonizuguka.na wala si dhambi.

Pili Mimi nimeeleza kwa asili Maana yake hiyo ni kuanzia Miaka ya 1750

Baada ya hapo maana zimeongezeka kutoka Mashariki kwenda Magharibi ; kuitoka ukoo moja hadi ukoo mwinginee familia .
Hoja hiii inatokana na jinsi ya jamii ya watu zilivyoingia Kilimanjaro miaka ile ya 1420!

Maana yake kuna baadhi ya maeneo watu alikuwa wanaunganisha mila.baada.ya kugundua upande huu kuna watu
 
Mnajitahidi sana kutugawa lakini hamtaweza..

Mila za wachaga wote ni zile zile tu, uwe Mmachame, Mkibosho, Mrombo mila ni zile zile tu tofauti ni lugha tu ambayo nayo inaingiliana kutokana na ukaribu wa maeneo husika. Mkibosho na Mmachame wanaongea na kuelewana bila shida yeyote. Vyakula vya asili na tamaduni zote za uchagani ni zile zile ziwe kwa Mmarangu mpaka Mmachame..

acha kujilinda

so waliobeba majani hayo jana walikuwa na maana gani? ni kabila gani? mbona haujibu hili??
 
Kwanza kila MTU ana haki ya kufanya apendavyo hatumsemei mtu !

Pili Mimi ninaongea kama mtazania niliye na haki na wajibu Wa kuelezea kile ni achokifahamu katika ardhi inayoitwa Tnzania

Haki ya kuwa na maoni na kueleza fikra zangu haiwezi kutazamwa kwa misingi ya eneo isipokuwa maana inapopotoshwa am a Kwa kutokujua au kwa makusudi

Ni wajibu wangu kutoa ninachokifahamu .

Kuhusu mambo ya ukabila nenda mtaa Wa Lumumba wanaweza kukukijibuu kama wamefaulu au la ?

mkuu ebu maliza thread bana

1. waliobeba jana walikuwa na maana gani? kwa nini?
2.ni kabila gani?
3. kama majani yana tafsiri tatu, methodology gani umetumia kujua maana yao ya jana?
 
acha kujilinda

so waliobeba majani hayo jana walikuwa na maana gani? ni kabila gani? mbona haujibu hili??
Boma ni sehemu ya mji mdogo ambayo ina watu wa asili mbali mbali.. Hadi wazaramo na wasambaa hamo hapo..

Kwahiyo hao waliobeba majani labda ni wasukuma tu, wachagga hawana akili za kitoto na za kipropaganda kama hizo. Ati, nimewasamehe.. Kwani nani anahitaji msamaha wake? Na yeye ni nani kwamba asipotusamehe sisi wachagga kwamba tutakufa au? Kama anadhani wachagga wameomba msamaha kana kwamba tulikosea basi asubiri 2020..
 
Ndugu zangu wantanzania wenzangu;
Amani iwe nanyi!!!

Nimefuatilia kwa kiasi kifupi mjadala wa matumizi ya ISALE hapa jukwaani, nikaona si vema niwaache muendelee kujadiliana kitu hiki kikubwa kwa upotoshaji, ujuzi mdogo na hatimaye mkasababisha kufuru dhidi ya mila za wenzenu.

ISALE ni mmea kabisa kama mimea mingine. Kuuheshimu na pengine kuuabudu ni uamuzi wa mtu, watu, jamii na hata kabila (kama mnavyozungumzia hapa). Inapofikia mmea huo kuheshimiwa na hata kuabudiwa basi jamii nzima licha ya kutofautisna kiimani na kimtizamo ni lazima iabudu pamoja, aunkuacha wengine waabudu na kuheshimu uamuzi wao huo.

Wageni kwa jamii inayobudu mmea husika wanalazimika kukubali au kuenenda kwa tahadhari wanapozungumzia au kujihusisha na jambo hili linalohusu imani ya wengine. Hivyi vinaitwa kwa kiingereza Taboo, totem and to be precise "faith".

Ninavyojua ISALE limetumika kwa zaidi ya karne 7 katika maeneo ya Afrika Mashariki. Tafuteni historia ya Wachagga. Wachagga walipohama kutoka eneo fulani kwenda jingine walijitambulisha kwa kutumia isale. Isale hilo hilo lilitumika kuweka mipaka kwenye mashamba yao. Isale lilipatanisha ndugu na ndugu, jirani na jirani kwenye mambo yanayohusu ardhi, undugu na uzao tu. Isale halihusiki kwenye utawala wala kabila la nje, (Kyasaka)

Upatinisho ama msamaha kwa watawala ulifanywa kwa kutumia mbuzi aina ya ndafu. Kuwapatanisha wamangi kulifanywa na washili ambao walifanya jambo kubwa la siri sana. Jambo hili lilihusisha kuzika ng'ombe dume mkubwa na mtoto wa kiume ambaye hakuwahi kuoa wala kuzaa, lakini ambaye alikwisha kutahiriwa. Suluhu hii ilifanywa kwa siri mwaka 1863 baina ya Mangi Sina na Mangi Shangali. Huu ndiyo ulikuwa upatinisho wa Wamachame na Wakibosho, ingawaje walikuja kuingia tena kwenye mapigano baada ya kuja Wajerumani.

Siri nyingine za kabila hili la Wachaga kuhusu ISALE zitafafanuliwa mkihitaji. Lakini nimeona ni vema ijulikane leo wazi kabisa kuwa suluhu ama msamaha kwa wachagga kwa kutumia ISALE ni wa kibaguzi kama ilivyo kwa makabila mengine. Hawapatanishi mchagga na kabila jingine kwa kutumia isale. Isale ni restricted for the use between Chaggas only. It is also restricted to be used for plot boundaries, identification of a place inhibited by Chaggas and reconciliation between Chaggas consanguinity related people.

Mwisho ISAALE halitumiki mfululizo au kila mara. Wazee wa zamani walihesabu idadi ya matumizi ya Isale kwa mtu mmoja. Ukizoea kutumia isale sana kwa kuwaomba ndugu zako msamaha unakuwa mtu usiyeogopa kufanya makosa dhidi ya ndugu zako. Kwa hiyo wazee wangekuambia wazi kwamba mwa huu umeshaleta isale kwa kaka yako mara 5 labda. Basi huwezi tena kumwomba kwa isale mwaka huu, ama vinginevyo utalipa sasa faini ya ng'ombe au kiasi fulani cha mazao au kuwa mtumishi kwa nduguyo, nk.

Kuhusu nashangilio kwa kutumia isale, hilo jambo linafanywa kwa kutolewa agazo la washili. Matukia yanayoruhusiwa kushangiliwa kwa kutumia isale ni kupokea "kikosi" cha askari waliotoka vitani "wakashinda", kumshangilia mtoto wa Mangi anapotawazwa kuwa Mangi na kwenye siasa pale Mangi anaposhinda uchaguzi kwa kuchaguliwa kuwa Mangi Mkuu alishangiliwa kwa kutumia masaale". Shangwe nyingine zote Uchagani hufanywa kwa kutumia ukindu (maangashi)

Sinden na Ufoo lwa Ndumi!
 
Ndugu zangu wantanzania wenzangu;
Amani iwe nanyi!!!

Nimefuatilia kwa kiasi kifupi mjadala wa matumizi ya ISALE hapa jukwaani, nikaona si vema niwaache muendelee kujadiliana kitu hiki kikubwa kwa upotoshaji, ujuzi mdogo na hatimaye mkasababisha kufuru dhidi ya mila za wenzenu.

ISALE ni mmea kabisa kama mimea mingine. Kuuheshimu na pengine kuuabudu ni uamuzi wa mtu, watu, jamii na hata kabila (kama mnavyozungumzia hapa). Inapofikia mmea huo kuheshimiwa na hata kuabudiwa basi jamii nzima licha ya kutofautisna kiimani na kimtizamo ni lazima iabudu pamoja, aunkuacha wengine waabudu na kuheshimu uamuzi wao huo.

Wageni kwa jamii inayobudu mmea husika wanalazimika kukubali au kuenenda kwa tahadhari wanapozungumzia au kujihusisha na jambo hili linalohusu imani ya wengine. Hivyi vinaitwa kwa kiingereza Taboo, totem and to be precise "faith".

Ninavyojua ISALE limetumika kwa zaidi ya karne 7 katika maeneo ya Afrika Mashariki. Tafuteni historia ya Wachagga. Wachagga walipohama kutoka eneo fulani kwenda jingine walijitambulisha kwa kutumia isale. Isale hilo hilo lilitumika kuweka mipaka kwenye mashamba yao. Isale lilipatanisha ndugu na ndugu, jirani na jirani kwenye mambo yanayohusu ardhi, undugu na uzao tu. Isale halihusiki kwenye utawala wala kabila la nje, (Kyasaka)

Upatinisho ama msamaha kwa watawala ulifanywa kwa kutumia mbuzi aina ya ndafu. Kuwapatanisha wamangi kulifanywa na washili ambao walifanya jambo kubwa la siri sana. Jambo hili lilihusisha kuzika ng'ombe dume mkubwa na mtoto wa kiume ambaye hakuwahi kuoa wala kuzaa, lakini ambaye alikwisha kutahiriwa. Suluhu hii ilifanywa kwa siri mwaka 1863 baina ya Mangi Sina na Mangi Shangali. Huu ndiyo ulikuwa upatinisho wa Wamachame na Wakibosho, ingawaje walikuja kuingia tena kwenye mapigano baada ya kuja Wajerumani.

Siri nyingine za kabila hili la Wachaga kuhusu ISALE zitafafanuliwa mkihitaji. Lakini nimeona ni vema ijulikane leo wazi kabisa kuwa suluhu ama msamaha kwa wachagga kwa kutumia ISALE ni wa kibaguzi kama ilivyo kwa makabila mengine. Hawapatanishi mchagga na kabila jingine kwa kutumia isale. Isale ni restricted for the use between Chaggas only. It is also restricted to be used for plot boundaries, identification of a place inhibited by Chaggas and reconciliation between Chaggas consanguinity related people.

Mwisho ISAALE halitumiki mfululizo au kila mara. Wazee wa zamani walihesabu idadi ya matumizi ya Isale kwa mtu mmoja. Ukizoea kutumia isale sana kwa kuwaomba ndugu zako msamaha unakuwa mtu usiyeogopa kufanya makosa dhidi ya ndugu zako. Kwa hiyo wazee wangekuambia wazi kwamba mwa huu umeshaleta isale kwa kaka yako mara 5 labda. Basi huwezi tena kumwomba kwa isale mwaka huu, ama vinginevyo utalipa sasa faini ya ng'ombe au kiasi fulani cha mazao au kuwa mtumishi kwa nduguyo, nk.

Kuhusu nashangilio kwa kutumia isale, hilo jambo linafanywa kwa kutolewa agazo la washili. Matukia yanayoruhusiwa kushangiliwa kwa kutumia isale ni kupokea "kikosi" cha askari waliotoka vitani "wakashinda", kumshangilia mtoto wa Mangi anapotawazwa kuwa Mangi na kwenye siasa pale Mangi anaposhinda uchaguzi kwa kuchaguliwa kuwa Mangi Mkuu alishangiliwa kwa kutumia masaale". Shangwe nyingine zote Uchagani hufanywa kwa kutumia ukindu (maangashi)

Sinden na Ufoo lwa Ndumi!
Maneno marefu,point iko moja tu. Nilidhani ningepata ufafanuzi zaidi,ndugu zako huku wanamtizamo tofauti. Ngoja waje.
Nilijua watakuja wenyewe kama huyu Basil. Asante,naamini huu ndo ufafanuzi tosha. Nami nilizipata habari kama hizo kwa rafiki yangu wa Kichagga, Nikaweka thread hapa,nimesikitishwa Mods wamwifuta with no any apology or defined reason!
 
Boma ni sehemu ya mji mdogo ambayo ina watu wa asili mbali mbali.. Hadi wazaramo na wasambaa hamo hapo..

Kwahiyo hao waliobeba majani labda ni wasukuma tu, wachagga hawana akili za kitoto na za kipropaganda kama hizo. Ati, nimewasamehe.. Kwani nani anahitaji msamaha wake? Na yeye ni nani kwamba asipotusamehe sisi wachagga kwamba tutakufa au? Kama anadhani wachagga wameomba msamaha kana kwamba tulikosea basi asubiri 2020..

ha ha, kumbe sio wachaga, wanaweza kuwa mamluki...ila watu ukiwaamini sana au kuwatumainia huwa wanakuangusha mkuu
 
ha ha, kumbe sio wachaga, wanaweza kuwa mamluki...ila watu ukiwaamini sana au kuwatumainia huwa wanakuangusha mkuu
Mkuu nadhani unajua sehemu za miji zilivyo.. Ni kama vile utoke Mlandizi unaenda Dar alafu pale Kibaha au Kibamba usimamishwe alafu useme nimeongea na wazaramo..

Hapo Boma kuna mchanganyiko wa watu mbalimbali na hata kama alipokewa na masale who knows ni wachaga ambao ni CCM? Kwani CCM haina makada wachaga?
 
Back
Top Bottom