Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
Mara baada ya kuukwaa uheshimiwa sijamsikia tena maalimu SEIF wa Zanzibar... kakaa kimya kama hayupo vile...ile misimamo yake ya kumbozi imeishia wapi kwa huyu bwana mkubwa?? au na yeye keshachukua chake anasubiri kustaafu kwa heshima na kula mema ya nchi...
Kuna tetesi nyingi nazisikia kupitia vyombo vya habri kuhusu huyu mheshimiwa lakini sijui kama ni za kweli
1)Hali yake ya kiafya sio nzuri hivyo hutumia muda mwingi hutumia kupaa na madege kwenda kutibiwa ulaya..
2)Nyingine ni kuwa wameamua kukubaliana ka CCM kutoumbuana hadharani ili ndoa yao idumu hali iliyopelekea kuufyata mkia
3)Hana mpango wa kugombea tena nyadhifa za juu serikalini hivyo hana cha kupoteza
Hivi tatizo la viongozi wetu hasa wanaoonekana kutupigania wanyonge kwa moyo mmoja huwa ni kuukwaa tu uheshimiwa ili wachumie matumbo na kuandika historia??
ni maoni yangu tu
Kuna tetesi nyingi nazisikia kupitia vyombo vya habri kuhusu huyu mheshimiwa lakini sijui kama ni za kweli
1)Hali yake ya kiafya sio nzuri hivyo hutumia muda mwingi hutumia kupaa na madege kwenda kutibiwa ulaya..
2)Nyingine ni kuwa wameamua kukubaliana ka CCM kutoumbuana hadharani ili ndoa yao idumu hali iliyopelekea kuufyata mkia
3)Hana mpango wa kugombea tena nyadhifa za juu serikalini hivyo hana cha kupoteza
Hivi tatizo la viongozi wetu hasa wanaoonekana kutupigania wanyonge kwa moyo mmoja huwa ni kuukwaa tu uheshimiwa ili wachumie matumbo na kuandika historia??
ni maoni yangu tu