Maalim Seif amvaa IGP

Mbona hakwenda polisi kukana kuwa wale ndugu zangu waki zanzibari waliokamatwa na silaha ambapo wamedai kuwa wametumwa kuja kuongeza ulinzi ofisini kuwa hawakutumwa na uongozi??????

Taja majina mawili ya hapo ndugu zako walokamatwa na polisi
 
Duh Huyu prof anachokitafuta atakipata

Ova
Wamesharudisha jengo kwa mwenyewe! Sasa aende Zbar akahamie na wale wapiga karate wake! Shwain! Prof njaa imehamia kichwani!
 
Hii nchi itakuja kuendelea CCM itoke madarakani.Kuna figisu nyingi sana,sanaa nyingi sana.
ccm haitatoka madarakani kwa kura hilo kwangu ni dhahiri. Inabaki tu sasa kufuata unabii wa Mw. Nyerere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…