Maalim nash aka Nash Mc

Maalim nash aka Nash Mc

Yap-yap man!!

Nash huwa aninikosha sana..

Mc pekee mwenye VVU bongo nzima.
Afu anaflow kiswahili fluently kiswahili chenye ladha,sio anachomeka chomeka kizungu kama kina fid q,Jamaa Fundi sana
 
Afu anaflow kiswahili fluently kiswahili chenye radha,sio anachomeka chomeka kizungu kama kina fid q,Jamaa Fundi sana
Anapenda sana fasihi,kiswahili chake na michano yake inaladha nzuri mno.

Jamaa huwa anasoma sana vitabu na kufatilia ulimwengu unakwendaje.

Kuna kipindi nilikuwa nasikia idhaa ya kiswahili Dw Bon ghafla nikamsikia wanamhoji kuhusu harakati zake...Manaake Kuna kipindi wasanii wa hip hop nchi kadhaa Africa walikutana Uganda na yeye akiwa mwakilishi kutoka Tanzania.
 
Acha wivu jombaa NASH MC ZUZU yuko vizuri,na wewe njoo na yako tuone uwezo wako
 
Nash anajua hakika nn anafanya.. Lugha adhim anaitunza.. Anautunzi murua Wa kiswahili..

Kuhusu utamaduni tumefokafoka sana tu kwenye ngoma huko vijijini.. Kama muandishi unahisi Nash anahangaika kuiga umarekani

Acha kutumia mitandao, vua nguo usipeleke watoto shule..rudi kijijini kajenge tembe la mavi ya ngombe uishi kwa kulima na kuokota matunda mwitu...

Nash Mc ni msanii Bora, na sio Bora Msanii.. Pata wasaa ukae na Nash uongee naye uone uelewa wa kiwango cha kukaa na wanazuoni.
 
Nash moja ya wasanii bora wanaotetea matumizi ya lugha ya kiswahili.

Katika wimbo wake wa "Naandika" Kuna mstari anasema "Fikra sahihi huja kwa lugha asili"

Nash mc a.k.a Shaban Robert.
 
"Unaweza kuwa profesa/


kumbe profesa....? Mnashangaa nini kwani maalimu hakosei"
 
maalim nash ni talented sana kwa kuxpress kitu kwa lugha ya kifasihi zaidi na he us based on reality chek lifestyle yake hata videoz zake pia maalim ni msanii pekee ambae hachanganyi lugha katika nyimbo zake
nadhan mkuu unachuki binafsi tu huna jipya
 
Nash anajua hakika nn anafanya.. Lugha adhim anaitunza.. Anautunzi murua Wa kiswahili..

Kuhusu utamaduni tumefokafoka sana tu kwenye ngoma huko vijijini.. Kama muandishi unahisi Nash anahangaika kuiga umarekani

Acha kutumia mitandao, vua nguo usipeleke watoto shule..rudi kijijini kajenge tembe la mavi ya ngombe uishi kwa kulima na kuokota matunda mwitu...

Nash Mc ni msanii Bora, na sio Bora Msanii.. Pata wasaa ukae na Nash uongee naye uone uelewa wa kiwango cha kukaa na wanazuoni.
Mimi sijawahi kukutana na nash mc na nipo mbali na temeke kwao na jiji la dar,nipo kilometre kibao toka dar.

Ila kutokana na utunzi wake unatambua kabisa jamaa kichwani yupo vizuri sana.
 
Mimi sijawahi kukutana na nash mc na nipo mbali na temeke kwao na jiji la dar,nipo kilometre kibao toka dar.

Ila kutokana na utunzi wake unatambua kabisa jamaa kichwani yupo vizuri sana.
Humble, charming, engaged... Ni mtu poa sana.. Sio mchoyo na sio mnafiki. Ndio maana anawapa madini wanamuona mjuvi sana.. Na habagui yeyote ukiwa timamu mnaingage kwenye mazungumzo. Hii ni maneno mbofu mbofu
 
Humble, charming, engaged... Ni mtu poa sana.. Sio mchoyo na sio mnafiki. Ndio maana anawapa madini wanamuona mjuvi sana.. Na habagui yeyote ukiwa timamu mnaingage kwenye mazungumzo. Hii ni maneno mbofu mbofu
Safi sana..

Nadhani tungo zake zinaeleza vizuri.

"Maisha ya mtaa watu, hatuvuti unga lakini tunambembea"
 
Humble, charming, engaged... Ni mtu poa sana.. Sio mchoyo na sio mnafiki. Ndio maana anawapa madini wanamuona mjuvi sana.. Na habagui yeyote ukiwa timamu mnaingage kwenye mazungumzo. Hii ni maneno mbofu mbofu
Kuna show moja yake ya Temeke.

Temeke show jamaa alinichekesha sana na burudani ya kutosha.
 
Nahitaji kumfahamu tu. Albamu yake iki-hit nitashawishika nadhani.
 
Back
Top Bottom