MAAJABU

Stevenbee

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2016
Posts
365
Reaction score
449
ni baada majina mengine kuletwa Mwalimu nyerere memorial academy ya mkopo yakiwa yamenakishiwa kwa maandishi yanasomeka kuwa "BANCH NAMBA 5" ili hali yalikuja majina 151 tu mara ya kwanza sa hivi wameongeza hayo 51 na ni Banch ya Tano swali je Banch 2,3,4 ziko wapi
Dah maajabu
 
Mkuu ni vizuri unapokuwa unatoa hoja yako
Ukatoa maelezo mazuri ya kuvutia member wa hili
Jukwaa kuchangia mawazo sasa ww unaandika kama
Imla fupi!!!
 
Mkuu ni vizuri unapokuwa unatoa hoja yako
Ukatoa maelezo mazuri ya kuvutia member wa hili
Jukwaa kuchangia mawazo sasa ww unaandika kama
Imla fupi!!!
sawa kiongozi nina stress tu ndo maana
 
sio kiwewe au ujanielewa na maanisha kuwa majina yaliyokuja kama first Batch yalikua 151 tu hapa chuoni leo yameletwa menginine 51 ambayo yameandikwa Batch la Tano ili hali hakuna majina yaliyoletwa kama Batch 2...3..n 4 ndo hivo
thatswhy nkasema Maajabu
 
Kuna dem wangu yupo hapo naomba mumchunge pia ntafatilia kama yupo kweny hio batch 5
 
Kama Dem wako then hajakudokeza kuhusu mkopo atakua hajapata mkuu
 
Hahahaa mkuu huyu Dem apate Boom tu [HASHTAG]#atakupa[/HASHTAG] kibut huy
 
Hta cjui wametoa banch 5 huku ya pil mpk ya nne hakuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…