ni baada majina mengine kuletwa Mwalimu nyerere memorial academy ya mkopo yakiwa yamenakishiwa kwa maandishi yanasomeka kuwa "BANCH NAMBA 5" ili hali yalikuja majina 151 tu mara ya kwanza sa hivi wameongeza hayo 51 na ni Banch ya Tano swali je Banch 2,3,4 ziko wapi
Dah maajabu