Kanuniya68
Senior Member
- May 26, 2013
- 157
- 44
Viongozi wetu ni janga, hususani wawakilishi wetu wabunge, nimekuwa siku zote naishagaa hii kauli ya watoto wengi kufeli ni kwa sababu ya simu na internet, ndugu yangu hachilia mbali hayo maeneo uliyoyataja, ni juavyo mimi zaidi ya asilimia 90 ya wanafunzi wa o level wa kitanzania hawana access na internet wala kumiliki simu
Wakati wenzetu wakenya wakianza kukabidhi laptop kwa wanzafunzi, Mbunge wa CCM, Eugine Mwaiposa anadai watoto wamefeli kwa sababu ya kutumia internet! Hivi, kule Ileje, Nkasi, Nanyumbu n.k kumejaa internet cafe?. Hakuishia hapo,anadai wanafeli pia kwa kusoma magazeti..hasa ya siasa! Kaaz kwel kwel!.,.mtoto akisoma tzdaima,uhuru ,nipashe n.k, anaongeza upeo, au ndo anafeli?
Heee huyu nae mbunge au!! Ajui kwamba kuna materia mengine yanapatikana kwenye mtandao? Aujui kwamba mnaweza mkabadilishana maujuzi na nondo kupitia intaneti? Wish watoto wake waje wamwambie mama pale ulichemka
majanga,mbona majanga.Tanzania tuna ombwe la fikra ambalo tusipokuwa makini vizazi vijavyo vitarithi nchi ya matahira