Kanuniya68
Senior Member
- May 26, 2013
- 157
- 44
Wakati wenzetu wakenya wakianza kukabidhi laptop kwa wanzafunzi, Mbunge wa CCM, Eugine Mwaiposa anadai watoto wamefeli kwa sababu ya kutumia internet! Hivi, kule Ileje, Nkasi, Nanyumbu n.k kumejaa internet cafe?. Hakuishia hapo,anadai wanafeli pia kwa kusoma magazeti..hasa ya siasa! Kaaz kwel kwel!.,.mtoto akisoma tzdaima,uhuru ,nipashe n.k, anaongeza upeo, au ndo anafeli?