Ivan Prosper
Senior Member
- Nov 28, 2016
- 150
- 94
Uchumi naona unakua kwa kasi ya ajabu ndo maana hata bei ya unga imeshuka ghafla kutoka 1200 hadi 2600.
Hongera raisi
Sembe ikipanda bei maana yake ni kuwa mkulima anapata fedha nyingi zaidi kutokana na jasho lake la kulima sembe. Mlizoea kuwapunja na kuwanyonya wakulima kwa kununua mazao yao kwa bei ya peanut. Acha wakulima wetu wauze sembe yao hata kwa Tsh 4,000 kwa kilo, korosho saa hizi angalao imefika 3,500 sh kwa kilo na mchele angalao 2,500 sh kwa kilo. Hii ndiyo kuwajaza wallet wakulima ambao idadi yao ni asilimia zaidi ya 80% ya watanzania. Ndiyo kukua kwa uchumi ambao hupimwa kwa per capital income. Huko nyuma wallet zilizokuwa zinajaa zilikuwa ni za wajanja wajanja tu. Sasa zinajaa wallet za wavuja jasho kama wakulima. Bei ya vyakula iendelee kupanda. Kama vipi na wewe nenda ukalime kama unataka wallet yako ijae.Uchumi naona unakua kwa kasi ya ajabu ndo maana hata bei ya unga imeshuka ghafla kutoka 1200 hadi 2600.
Hongera raisi
uchumi unakua kwa porojo au kwa facts?? kinachokuza uchumi ni nini?? what is your currency strength?? duh, hongereni basi hata ukue zaidi ya marekani...nkt!Wana JF. Habari za kuaminika kutoka wataalamu wa kiuchumi duniani ambao hufuatilia uchumi duniani ikiwemo AFRIKA MASHARIKI.
Imetoa ripoti yake kuwa UCHUMI wa Tanzania UNAKUA haraka sana na tayari UME OVERTAKE nchi nyingine za kanda hii ya Afrika Mashariki ZOTE!
Sababu zilizotolewa ni kuwa Rais Magufuli amejaribu sana KUZIBA upotevu wa fedha na kuwa HANDS ON katika kufuatilia kwa karibu uchumi wa nchi yake na kuhakikisha uchumi unakua.
ripoti hii inasema kuwa kuna MATUMAINI makubwa kwa Tanzania kuwa KIONGOZI kiuchumi wa nchi za Afrika Mashariki.
Nafikiri kama Watanzania bila kujali vyama vyetu tuna HAJA ya KUJIVUNIA mafanikio ya awamu ya 5 badala ya kuangalia mapungufu.
Maana siku njema huanza asubuhi.
Chanzo:IOL
ECONOMISTS
NTV-Kenya.
IMF. etc.
Experts avaluations sir/Madamuchumi unakua kwa porojo au kwa facts?? kinachokuza uchumi ni nini?? what is your currency strength?? duh, hongereni basi hata ukue zaidi ya marekani...nkt!
Mkuu, hizi ni taarifa zilizodhibitishwa na HAZINA chumvi.Angalia taarifa yako isije ikabebwa juu juu na TBCCM na kujikuta umewaingiza mkenge wenzako na kusababisha wasimamishe kazi,uchumi unakuwa wakati shirika la fedha limeshatahadharisha kuwa zisipochukuliwa hatua za makusudi Tanzania itafirisika rasmi mwezi June?
Tukubaliane,kama kuna tetesi za kukuwa kwa uchumi,basi utakuwa uchumi wa chattle na Bashite,si uchumi wa Tanzania.
Uchumi unakuwa.Lakini katika biased opinions tunaona ni kama hakuna chochote. Mpaka watu wa nje watuambie badala ya sisi kuwa optimistic na hali ya nchi yetu. Jamani.Mmmmmmh uchumi huo unakulia wapi wakati budget yetu haujatekelezeka kuzidi 40%
Mkuu, Mjumbe hauawi. Mimi sizungumzi POROJO nazungumza UTAFITI na analysis ya wanauchumi wa kmataifa.Ebu acha ujinga hivi unajua budget ya Kenya ni kiasi gani kwa mwaka? na umelinganisha na ya TZ ukaona kwamba jamaa wamelala nyie mnaokaba boda boda kukusanya kodi ndio mnakuwa. Wewe ulivyosikia ukashindwa kuchanganya na za kwako na kuona takwimu.
Kiongozi wenu kesha sema hajalibiwi wewe unamjaribu wenzio walikuwa TBC walisema kasifiwa na Donard kawafumua fasta ngoja wakutafute na wewe.
Ni kweli uchumi wetu unakua haraka sana. Hapa kwetu mama mboga na mama lishe wamejenga nyumba na wanaendesha magari yao na kusomesha watoto hadi vyuo vikuu. Fanya kazi yoyote inalipa. Ukikaa vijiweni utakufa njaa au utakuwa mwizi.Hii kukua kwa uchumi hazi hakis hali halisi za uchum wa mtanzania wa kawaida.
bUDGET YA kENYANI KARIBU TRILLION 60Mwambie huyo popo wa LUMUMBA
Sembe ikipanda bei maana yake ni kuwa mkulima anapata fedha nyingi zaidi kutokana na jasho lake la kulima sembe. Mlizoea kuwapunja na kuwanyonya wakulima kwa kununua mazao yao kwa bei ya peanut. Acha wakulima wetu wauze sembe yao hata kwa Tsh 4,000 kwa kilo, korosho saa hizi angalao imefika 3,500 sh kwa kilo na mchele angalao 2,500 sh kwa kilo. Hii ndiyo kuwajaza wallet wakulima ambao idadi yao ni asilimia zaidi ya 80% ya watanzania. Ndiyo kukua kwa uchumi ambao hupimwa kwa per capital income. Huko nyuma wallet zilizokuwa zinajaa zilikuwa ni za wajanja wajanja tu. Sasa zinajaa wallet za wavuja jasho kama wakulima. Bei ya vyakula iendelee kupanda. Kama vipi na wewe nenda ukalime kama unataka wallet yako ijae.
Mlizoea kuwanyonya wakulima na wafugaji kwa kuchukua mazao yao kwa bei ya sawa na bure. Utakuta jitu linakunywa bia kwa mwezi za gharama ya laki mbili shs kwa mwezi lakini sembe na nyama linazokula na kufula gharama zake hazizidi shs 30,000/ kwa mwezi, umeme linaotumia kwa mwezi shs 250,000/. Sasa kipi ni cha muhimu kati ya hivyo vitatu? Kwa nini mzalishaji wa kitu cha mhimu kwa maisha yako unataka akuuzie mazao yake kwa bei ya sawa na bure wakati yule anayezalisha vitu ambavyo si vya muhimu kwako kuishi kama vilevi na umeme uko tayari kumlipa pesa ya kutakata?
Mkulima kupata gunia 100 za mahindi kwa mwaka si kazi rahisi. Lakini unakuta alikuwa anauza gunia moja la mahindi kwa shs 40,000 au chini ya hapo (yaani debe sh 7,000/ au chini). Maana yake capital income yake kwa mwaka ni 100×40,000 shs = sh million 4 tu hivyo kwa siku kipato chake kwa siku haifiki US dollar moja na kwa hiyo kwa viwango vya kimataifa ni masikini wa kutupwa. Tupandishe bei ya gunia la mahindi lifikie angalao shs 150,000/ ili kumwondoa mkulima huyu katika kundi la masikini wa kutupwa. Hii ndiyo njia pekee ya kuondokana na umasikini. Wakulima na wafugaji wetu waneemeke. Sasa hivi eti tumekazania kuwaneemesha waigizaji na wasanii wa bongo movie na bongo flava badala ya wakulima, wafugaji na wavuvi. Hii si sawa.
Sembe ikipanda bei maana yake ni kuwa mkulima anapata fedha nyingi zaidi kutokana na jasho lake la kulima sembe. Mlizoea kuwapunja na kuwanyonya wakulima kwa kununua mazao yao kwa bei ya peanut. Acha wakulima wetu wauze sembe yao hata kwa Tsh 4,000 kwa kilo, korosho saa hizi angalao imefika 3,500 sh kwa kilo na mchele angalao 2,500 sh kwa kilo. Hii ndiyo kuwajaza wallet wakulima ambao idadi yao ni asilimia zaidi ya 80% ya watanzania. Ndiyo kukua kwa uchumi ambao hupimwa kwa per capital income. Huko nyuma wallet zilizokuwa zinajaa zilikuwa ni za wajanja wajanja tu. Sasa zinajaa wallet za wavuja jasho kama wakulima. Bei ya vyakula iendelee kupanda. Kama vipi na wewe nenda ukalime kama unataka wallet yako ijae.
Mlizoea kuwanyonya wakulima na wafugaji kwa kuchukua mazao yao kwa bei ya sawa na bure. Utakuta jitu linakunywa bia kwa mwezi za gharama ya laki mbili shs kwa mwezi lakini sembe na nyama linazokula na kufula gharama zake hazizidi shs 30,000/ kwa mwezi, umeme linaotumia kwa mwezi shs 250,000/. Sasa kipi ni cha muhimu kati ya hivyo vitatu? Kwa nini mzalishaji wa kitu cha mhimu kwa maisha yako unataka akuuzie mazao yake kwa bei ya sawa na bure wakati yule anayezalisha vitu ambavyo si vya muhimu kwako kuishi kama vilevi na umeme uko tayari kumlipa pesa ya kutakata?
Mkulima kupata gunia 100 za mahindi kwa mwaka si kazi rahisi. Lakini unakuta alikuwa anauza gunia moja la mahindi kwa shs 40,000 au chini ya hapo (yaani debe sh 7,000/ au chini). Maana yake capital income yake kwa mwaka ni 100×40,000 shs = sh million 4 tu hivyo kwa siku kipato chake kwa siku haifiki US dollar moja na kwa hiyo kwa viwango vya kimataifa ni masikini wa kutupwa. Tupandishe bei ya gunia la mahindi lifikie angalao shs 150,000/ ili kumwondoa mkulima huyu katika kundi la masikini wa kutupwa. Hii ndiyo njia pekee ya kuondokana na umasikini. Wakulima na wafugaji wetu waneemeke. Sasa hivi eti tumekazania kuwaneemesha waigizaji na wasanii wa bongo movie na bongo flava badala ya wakulima, wafugaji na wavuvi. Hii si sawa.
Ina maana hawa wanapinga na report ya world bank?nani mkweli?Wana JF,
Habari za kuaminika kutoka wataalamu wa kiuchumi duniani ambao hufuatilia uchumi duniani ikiwemo AFRIKA MASHARIKI Imetoa ripoti yake kuwa UCHUMI wa Tanzania UNAKUA haraka sana na tayari UME OVERTAKE nchi nyingine za kanda hii ya Afrika Mashariki ZOTE!
Sababu zilizotolewa ni kuwa Rais Magufuli amejaribu sana KUZIBA upotevu wa fedha na kuwa HANDS ON katika kufuatilia kwa karibu uchumi wa nchi yake na kuhakikisha uchumi unakua.
ripoti hii inasema kuwa kuna MATUMAINI makubwa kwa Tanzania kuwa KIONGOZI kiuchumi wa nchi za Afrika Mashariki.
Nafikiri kama Watanzania bila kujali vyama vyetu tuna HAJA ya KUJIVUNIA mafanikio ya awamu ya 5 badala ya kuangalia mapungufu.
Maana siku njema huanza asubuhi.
Chanzo: IOL
ECONOMISTS
NTV-Kenya.
IMF. etc.
Trumph ampigia simu bob na kumpongezaFact kwamba umeanza kwa kuyaita maajabu tu inatosha.
Kwenye kudhibiti mianya ya rushwa Magufuli wafanye zaidi. Refer CAGWana JF,
Habari za kuaminika kutoka wataalamu wa kiuchumi duniani ambao hufuatilia uchumi duniani ikiwemo AFRIKA MASHARIKI Imetoa ripoti yake kuwa UCHUMI wa Tanzania UNAKUA haraka sana na tayari UME OVERTAKE nchi nyingine za kanda hii ya Afrika Mashariki ZOTE!
Sababu zilizotolewa ni kuwa Rais Magufuli amejaribu sana KUZIBA upotevu wa fedha na kuwa HANDS ON katika kufuatilia kwa karibu uchumi wa nchi yake na kuhakikisha uchumi unakua.
ripoti hii inasema kuwa kuna MATUMAINI makubwa kwa Tanzania kuwa KIONGOZI kiuchumi wa nchi za Afrika Mashariki.
Nafikiri kama Watanzania bila kujali vyama vyetu tuna HAJA ya KUJIVUNIA mafanikio ya awamu ya 5 badala ya kuangalia mapungufu.
Maana siku njema huanza asubuhi.
Chanzo: IOL
ECONOMISTS
NTV-Kenya.
IMF. etc.