Maajabu ya karafuu katikati mwili wa binadamu

Haha hujawahi kutingwa hadi mwili ufe ganzi?.
Mimi binafsi huwa sipendi masaji lkn kuna wakati u busy huufanya mwili kuchoka na hata kupunguza uwezo wa kufanya kazi kwa ufanisi.
Masaji huwa ndio njia pekee ya kuurudisha mwili katika hali yake....kwa hawa wanajiita therapist..
Epuka zile masaji za watoto wa mjini ambao wako kibiashara hasa kusaka wanaume...hayo ni madanguro.

Fanyiwa masaji hotelini kwa watu wanaojali miiko ya kazi zao...halafu iwe ya karafuu utanishukuru
Sawa nitajaribu... 🤣
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom