financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,141
- 43,366
Kwani vipi mkuu, umemuelewa eeeh? FungukaaaHivi mkuu huyo ni wewe au msauthi anavyo onekana

Kwani vipi mkuu, umemuelewa eeeh? FungukaaaHivi mkuu huyo ni wewe au msauthi anavyo onekana

Nitafunguka kama nitakutana nae jicho kwa jicho nijaribu bahati yangu ya mtendeKwani vipi mkuu, umemuelewa eeeh? Fungukaaa![]()
![]()
Hivi we jamaa upo ?!kumbe nimewahi siti ya mbele kabisa
Acha bana...Kaugonjwa ka wengi haka, mnapita kimya na tayari mate yameshawakauka![]()




nipo chiefHivi we jamaa upo ?!
Pmj sana kiongozinipo chief
Labda mwezi ujao
Mwezi huu wengi wananuka midomo balaa
Vipi tena?Oooh!
Acha bana...
![]()
Nawaza tu.Vipi tena?
Siyo Mimi na wala sielekeani naye kabisa yani, ni msouth huyooNitafunguka kama nitakutana nae jicho kwa jicho nijaribu bahati yangu ya mtende