Maajabu Tanzania

Maajabu Tanzania

twiga akipanda ndege hatuongehi
leo lowasa kapanda daladala ni maneno kila kona watanzania mbadilike

Wamebadilika tayari ndiyo maana Safari hii wamejiandikisha kwa wingi sana wamechoka miaka 54 sera zile zile ambazo huwa hazitekelezeki , wananchi wa sasa hawataki maneno mengi mengi bila vitendo.
 
twiga akipanda ndege hatuongehi leo lowasa kapanda daladala ni maneno kila kona watanzania mbadilike
Ndio ujiulize CCM imesfikisha wapi nchi...bahat mbaya hata magufuli anapoteza muda kuelezea vitu CCM wameshindwa,akidhani anawalaumu sana upinzani.
 
d tarimo ....Jifunze kiswahili fasaha kwanza. "Mahajabu" ndiyo nini? "Hatuongehi" ndiyo kiswahili gani?
 
Last edited by a moderator:
sasa tunataka kuona wanapanda mabasi ya mikoani pale Ubungo kwenda makwao na si ndege na machopa ndo tutawaona wazalendo
 
UKAWA kweli malofa hata kuandika hamjui
 
JF inaruhusu mpaka DIVISION 5 wawe wanaandika. MAHAJABU ndo nini? huyu kiswahili tu kinamshinda ambacho amekua akikizungumza. hizi ndo products za CCM. kuzalisha mijitu mijinga mijinga isiyo na uelewa wala ufahamu kwaa vitu vidogo.Tu nenda kasome dogo acha kuja kuandika miuchafu yako hapa.
 
UKAWA wapo makini sana hata mimi najiandaaaaaaaaaaaaa kukikacha chama cha mfumo wa mafisadiiiiiiiiiiiiiii
 
d tarimo ....Jifunze kiswahili fasaha kwanza. "Mahajabu" ndiyo nini? "Hatuongehi" ndiyo kiswahili gani?

si muda wa kufundishana kiswahiki, ni muda wa kufikisha ujumbe kwa walaji! Kama hujamwelewa jamaa mwulize tena swali akueleweshe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom