kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,224
- 1,685
Mtangazo ya kutangaza Maajabu saba ya asilia barani Afrika (The declaration ceremony of Seven Natural Wonders of Africa), yanaendelea kutangazwa moja kwa moja kutoka Jijini Arusha: baadhi ya vivutio saba kuwa vimepata kura nyingi ni vya Tanzania, ikiwemo mbuga ya Serengeti, mlima Kilimanjaro na Ngorongoro Crater. Mgeni rasmi katika sherehe za kutangaza maajabu saba barani Afrika ni Waziri Mkuu Mh. Pinda.
Na vivutio baadhi vilivyotajwa kuwa kwenye maajabu saba ni;
- Mlima Kilimanjaro
- Victoria Fall
- River Nile
- Ngorongoro Crater
- Jangwa la Sahara
- Serengeti National Park
Source by: TBC (live broadcasting)
Na vivutio baadhi vilivyotajwa kuwa kwenye maajabu saba ni;
- Mlima Kilimanjaro
- Victoria Fall
- River Nile
- Ngorongoro Crater
- Jangwa la Sahara
- Serengeti National Park
Source by: TBC (live broadcasting)