Maajabu katika Website ya Bunge

SWEEPER

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2012
Posts
269
Reaction score
87
Eti hawa nao bado ni Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa tovuti ya Bunge;

1. William Mgimwa (Mb) jimbo la Kalenga
2. John Damiano Komba (Mb) Jimbo la Mbinga Magharibi
3. Zitto Zuberi Kabwe (Mb) Jimbo la Kigoma kaskazini
4. Bwanamdogo Ramadhan Said (Mb) Jimbo la Chalinze

Hii ni taasisi kubwa na ni Mhimili mmojawapo wa Dola hebu acheni uvivu.
 

Je, posho yao nayo haijawa updated?
 
Zitto ungemtenga kidoogo! kwenye hilo kundi hayupo.

kwani yeye bado mbunge? wa jimbo gani?

tovuti za serikali ni za kijinga sana. sio za kutegemea kupata taarifa mpya. kwa mfano katika tovuti ya wizara ya mifugo bado inasomeka kwamba dr mathayo david ndiye waziri wa wizara hiyo.
 
Culture yetu ni kutokuwa makini, sio serikalini Tu, na wabunge pia.
 
Mimi huwa sishangai kwa website za serikali kukuta habari za miaka miwili nyuma ndiyo zipo kwenye front page ni kawaida sana, wale waajiliwa wa kazi hiyo sijui huwa wanakazi gani after.
 
Hata ku update website yao wanashindwa...
 
Tunachoweza TZ kwa 100% ni UFISADI
 
karibu tovuti zote za serikali ziko hivyo japo kuna maafisa habari na system analysts. wanajidai kujibu maswali na maoni ya wadau lakini wapi utasubiri sana
 

utasikia na payrol zao znaexist.....
 
Na hapo mwenye kupewa kazi ya ku-maintain hiyo tovuti anaingiza mshahara kila mwezi...
 
hiyo ndio Tanzania, nna hakika hata ukiingia ya nishati na madini wizara utaambiwa waziri ni Sospeter Muhongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…