Maajabu HESLB

Tom8

Member
Joined
Oct 3, 2015
Posts
52
Reaction score
23
HAYA TUSAIDIANE HAPA:
wanafunzi walioomba mkopo HESLB = 70,000
garama ya maombi= 50,000/= kila mwanafunzi
kiasi kilichoingizwa na HESLB = 70,000*50,000/=
=3,500,000,000
SASA BASI,
tumeambiwa waliofanikiwa kupata mkopo ni
12,000(kumbuka sio wote wamepatiwa 100%)
tukichukua wastani wa 3,000,000/= kwa kila
mwanafunzi kwa mwaka,then 12,000*3,000,000/=
utapata 36,000,000,000
tukichuku kilichokusanywa na HESLB ambacho ni
3,500,000,000/= tukigawa kwa 36,000,000,000/=
tutapata 9.72%...ina maana kadirio la10% kwenye
mfuko wa kuwakopesha wanafunzi imetoka kwa
wanafunzi hao hao....
KWAHIYO
tunaweza ku assume kilichotengwa na serikali
kuwasomesha wanafunzi ni 36,000,000,000-
3,500,000,000 = 32,500,000,000 ambacho ni
kadirio la 2,700,000/= kwa mwaka kwa kila
mwanafunzi kutoka kwenye bajeti ya serikali..
JIULIZE
ni shingapi ilitumika
1.kumlipa Dr.mihogo
2.kumlipa profeseli
3.kuwalipa watu tanzania nzima ili wahudhurie
mikutano
3.kuwalipa waigizaji na wanamziki
4.kulipa malori ya kusomba watu
5.kulipia na kutengeneza matangazo ka
kampeni...
"MLIAMBIWA ATAKAE ISOMA NAMBA SIO
LOWASSA NI SISI MASKINI"
 
Tumeipenda wenyewe acha tuisome tu hakna namna, inamaana na zile za application zilinyofolewa zikapelekwa kwenye siasa
 




Yani hii stor ishakua copy and paste..
 
jamani wakuu sisi ni wasomi tusifanye mambo bila ya kufikiri.. itayughalimu kabisaaaa
 

loan board ada ya maombi ni Tsh.30000 na sio 50000
 
Kazi nzuri, ila marekebisho kidogo ni kuwa HESLB tulilipia Tsh. 30,000 na sio Tsh. 50,000... TCU ndio tulilipia Tsh. 50,000. Naomba niendelee kuisoma namba......
 
Kazi nzuri, ila marekebisho kidogo ni kuwa HESLB tulilipia Tsh. 30,000 na sio Tsh. 50,000... TCU ndio tulilipia Tsh. 50,000. Naomba niendelee kuisoma namba......
Kwa hiyo jumla ni 80,000/-..??
Namba inayosomwa hapa kama si shufwa basi witiri
 
Kwa hiyo jumla ni 80,000/-..??
Namba inayosomwa hapa kama si shufwa basi witiri

Ndio jumla ya pesa tulizotumia katika mchakato mzima wa kuapply mambo ya Chuokikuu ni Tsh. 80,000 kwa mchanganuo huo nilioutaja.
 

Bdo mnaendelea na CAMPAIGN TY
 
Heading nzuri hadi nikajua labda HESLB wametoa lot ya pili,kumbe lipumbavu linaandika ujinga wake,dah! hivi hamuwezagi kuleta habari zenu bila ku-pragiarise? FOOL kweli
 
Kazi nzuri, ila marekebisho kidogo ni kuwa HESLB tulilipia Tsh. 30,000 na sio Tsh. 50,000... TCU ndio tulilipia Tsh. 50,000. Naomba niendelee kuisoma namba......

mimi jumla nimelipa elfu 65000 na i believe tuko zaidi ya 18000 tuliolipa kiasi hicho au zaidi.
Mwanzo 2014/2015 nililipa 30,000 nikakosa, wakasema tu-appeal, nikawalipa 5000. Haikutosha wakanipiga down, nimeapply tena upya 2015/2016 nimewalipa 30,000 wamenirudia za uso bila huruma.
Nb sijazungumzia gharama ya sh.13,100 post
na TCU 2 times.
Sasa kama second lot itanipita tena basi mimi bora nibaki hapa home niwasaidie hawa cowboys kuchunga ng'ombe.
Kama nitachaguliwa third lot siendi coz nishaona ni uzalilishaji.
Huu ni upumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…