Ooh, kumbe, pole sana, he was my hero kwa kumshughulikia jambazi sugu Kadogoo pale Moshi, Nakumbuka baba yake Kadogoo alimzawadia Sh. 60,000/= kwa kumuua mwanae tishio, enzi hizo ilikuwa fedha nyingi sana. Nasikia pia ni Kaka wa Rose Kamili mbunge wa CDM.
Sikujua maskini, RIP Joakimu