Maafande hawa wapo wapi?

km sikosei joachim Kamili alifariki 2005 na kifo chake kilitokana na kuuwawa na wezi wa mafuta ktk kampuni ya konoike
 
Joakim kamili alifukuzwa kazi kwa tuhuma za kujimilikisha shamba akiwa tanga baadae akajiliwa na kampuni binafsi dodoma ndipo alifia huko kwa ajali ya barabarani

Ooh, kumbe, pole sana, he was my hero kwa kumshughulikia jambazi sugu Kadogoo pale Moshi, Nakumbuka baba yake Kadogoo alimzawadia Sh. 60,000/= kwa kumuua mwanae tishio, enzi hizo ilikuwa fedha nyingi sana. Nasikia pia ni Kaka wa Rose Kamili mbunge wa CDM.
Sikujua maskini, RIP Joakimu
 
Hivi Makonda kwenye list yake ya unga hajawahi kumtaja Mkamasharp hivi...? Au...?
 
Jina lake zuri kweli kweli aisee 7 6
 
Kuna jamaa mmoja alikuwa anaitwa Afande Msela mbavu mtu kitambo sana mitaa ya Kino aisee. Brazil, Moscow, K-Shamba. etc
 
Alishahama Morogoro.Nasikia jamaa angepanda vyeo zamani sema Ilimu ndo ilikuwa tatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Joakim kamili alifukuzwa kazi kwa tuhuma za kujimilikisha shamba akiwa tanga baadae akaajiliwa na kampuni binafsi dodoma ndipo alifia huko kwa ajali ya barabarani
Joakim aliajiliwa KONOIKE kama mkuu wa kitengo cha usalama kwenye mradi wa barabara ya lami Dom-Manyoni.
Kifo chake kilikua kibaya sana na cha utata alikanyagwa kichwa na dump truck za kampuni site na dereva akakimbia.
 
Saba Sita mara ya mwisho alikuwa ni OC-CID Kiteto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…