Kuelekea maadhimisho ya siku ya sheria nchini ambapo maadhimisho hayo yanatarajia kuadhimishwa tarehe 2/2/2017. Mahakama zetu za Tanzania hazina budi kufanya mambo yafuatayo:
1. Mahakama zote zitumie lugha ya kiswahili badala ya kiingereza ktk taratibu za kufungua na kutoa maamuzi, hii itawasaidia wananchi kuelewa kwa wepesi haki zao, wananchi wengi wa kawaida wameshindwa kuelewa au kufuatilia haki zao Kwa sababu ya lugha inayo tumiwa na mahakama za juu kuwa ya kiingereza. Hizi ni Mahakama za watanzania sio taifa jingine tutumie kiswahili ili kujenga dhana ya uwazi na urahisi kwa wanyonge walio wengi
1. Mahakama zote zitumie lugha ya kiswahili badala ya kiingereza ktk taratibu za kufungua na kutoa maamuzi, hii itawasaidia wananchi kuelewa kwa wepesi haki zao, wananchi wengi wa kawaida wameshindwa kuelewa au kufuatilia haki zao Kwa sababu ya lugha inayo tumiwa na mahakama za juu kuwa ya kiingereza. Hizi ni Mahakama za watanzania sio taifa jingine tutumie kiswahili ili kujenga dhana ya uwazi na urahisi kwa wanyonge walio wengi